Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Unafikiri kwanini alikupenda wewe na je alikotoka unafikiri hakua na mwingine na je wewe hukuwa na mwingine? Chuoni mapenzi ya pesa na Elimu tu huna msaada wa hayo hakuna atakayekupenda.
Mapenzi ya dhati chuon yawezekana ila inategemea na watu(walengwa)mfn mm mbona nimekutana na mchumba wngu chuon na mwez wa 5 twaoana,ila kiukweli kuna uchakachuaji wa hali ya juu sn wenyewe wanaita kulindana