Mapenzi kizungumkuti

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,066
454
Jamaa na mpenzi wa wake wameamua safari yao iwe moja

HII KALI.jpg
 
How Romantically and Tragically sad. It is so Romeo and Juliet.
 
Teh teh wajinga wawili . Always watu wote wanaojiua ni mafelias
 
Hata kama walijiuwa kweli basi itakuwa siyo 7bu ya mapenzi
 
Teh teh wajinga wawili . Always watu wote wanaojiua ni mafelias


Tema mate chini dear.... Usiombe yakukute wala yamkute ndugu yako.... Ni nuksi ambayo hakuna hutarajia kamwe yatamfikia!
 
huyo ni sharban na recka wamejiua cku ya wapendanao baada ya babake recka kumkataa sharban ndo wakajiua pamoja ili waende dunia mpya pamoja iyo ni kulingana na barua waliocha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom