JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 526
- 583
Wasalaam JF members.
Ni tabia ambayo imejengeka kwa jamii nyingi, kukuta ndugu kwa ndugu wanafanya mapenzi kwa sababu tofauti tofauti.
Hii imesababisha mimba zisizokuwa na tija na migongano kunako familia. Je?
1. Kwa nini hili jambo hutokea kwa ndugu kuwa na matamanio ya kimapenzi baina yao?
2. Nini kifanyike ili ndugu wasijiingize katika ngono baina yao?
3. Na kama imeshatokea ndugu wanafanya ngono, je ni halali wao kuoana? kwani itabidi wasidhini.
NB: Ndugu niwahusishao ni kati ya binamu kwa binamu na mara chache kaka na dada.
Ni tabia ambayo imejengeka kwa jamii nyingi, kukuta ndugu kwa ndugu wanafanya mapenzi kwa sababu tofauti tofauti.
Hii imesababisha mimba zisizokuwa na tija na migongano kunako familia. Je?
1. Kwa nini hili jambo hutokea kwa ndugu kuwa na matamanio ya kimapenzi baina yao?
2. Nini kifanyike ili ndugu wasijiingize katika ngono baina yao?
3. Na kama imeshatokea ndugu wanafanya ngono, je ni halali wao kuoana? kwani itabidi wasidhini.
NB: Ndugu niwahusishao ni kati ya binamu kwa binamu na mara chache kaka na dada.