Mapenzi kabla au baada ya ndoa?

Hakuna binadamu asiye na kasoro, hata awe mzuri vp au awe na uwezo vp. Cha muhimu ni kuwekana wazi. Mtu anasema anakupenda, basi sharti akupende kama ulivyo, asibague kitu ktk mwili wako, na vile vile anaependwa kama nae anaguswa na upendo husika, basi nae awe mkweli na muwazi kama mwenzake ili kuondoa uwezekano wa kutamka "NAJUTA" hapo baadae. KILA KITU KINAPASWA KUWA WAZI KWA MPENZI WAKO
 
mnh kikubwa ni maelewano,mkikubaliana kufanya ni poa,na mkikubaliana kufanya baada ya ndoa ni poa pia...ila kwa mapenzi ya sasa kufanya baada ya ndoa ni ngumu sana,mie sio siri nikiwa na mchumba najua ananipenda na haniulizi game nitahisi ana mahali anachakachua...lol:teeth:

wengi hasa wanaume wanapenda 'kuthaminisha' bidhaa zetu wanawake kama bado zinafaa kwa long term use-bahati mbaya saaana bidhaa zetu zinaeleza kama zimeshachakaa au bado, unfortunately ikija kuthaminisha bidhaa zao hatuwezi kueleza kama imetumika sana,yenyewe inaweza kutumika kuchapa wanawake 1000 ikabaki vile vile,ngoja wewe mwanamke uchapwe na wanaume 1000 uone kazi!!:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
mnh kikubwa ni maelewano,mkikubaliana kufanya ni poa,na mkikubaliana kufanya baada ya ndoa ni poa pia...ila kwa mapenzi ya sasa kufanya baada ya ndoa ni ngumu sana,mie sio siri nikiwa na mchumba najua ananipenda na haniulizi game nitahisi ana mahali anachakachua...lol:teeth:

wengi hasa wanaume wanapenda 'kuthaminisha' bidhaa zetu wanawake kama bado zinafaa kwa long term use-bahati mbaya saaana bidhaa zetu zinaeleza kama zimeshachakaa au bado, unfortunately ikija kuthaminisha bidhaa zao hatuwezi kueleza kama imetumika sana,yenyewe inaweza kutumika kuchapa wanawake 1000 ikabaki vile vile,ngoja wewe mwanamke uchapwe na wanaume 1000 uone kazi!!:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:

Hahah ila si wanaume wote wenye uwezo wa kugundua bidhaa ilivyochakaa. Wengine kama mimi sijui unagunduaje, nasimuliwa tu eti inakuwa hivi na vile, lakin ikija ktk upekuzi wenyewe nachemka.

Lakin ni muhimu kumueleza mwenzi wako ukweli (kama unajiamini) kuliko kusubili agundue mwenyewe.
 
Na kwa kumueleza ukweli wa mapungufu yako mtu ambaye ametamka mwenyewe kuwa ANAKUPENDA KWA DHATI ndio kipimo cha upendo wa kweli, na wala sio kumueleza mazuri yako tu
 
Kuna watu wamekuwa wakisisitiza eti kama una mpenzi ambaye unakusudia kuoana nae, ni muhimu uwe umewahi kufanya nae mapenzi kabla hamjapelekana hata kwa wazazi. Wanadai hii inasaidia kumjua mwenzio alivyo kwa "ndani" na kama umeridhika na mavituuz yake. Wengine wanadai ni muhimu umjue (kwa wanawake) mwanaume wako alivyo, maana unaweza kukuta HAIFANYI KAZI, au KADOGO SANA. Wengine husisitiza ni muhimu sana, maana wengine wana matatizo ya SEHEM HIZO, mfano unakuta ana nyeti zote 2, au nyet zake zimefanyiwa operation, hivyo haziko asilia. Wengine wanasema sio muhimu, mtajuana humo ndani mkioana! Sasa ipi ni njia sahihi?

kwa dunia ya leo kila mtu amekua mjanja so cha msingi ni 'usikubali kuuziwa au kununua mbuzi kwenye gunia' maana unaweza kuta umewekewa mbwa badala ya mbuzi
 
Kuna watu wamekuwa wakisisitiza eti kama una mpenzi ambaye unakusudia kuoana nae, ni muhimu uwe umewahi kufanya nae mapenzi kabla hamjapelekana hata kwa wazazi. Wanadai hii inasaidia kumjua mwenzio alivyo kwa "ndani" na kama umeridhika na mavituuz yake. Wengine wanadai ni muhimu umjue (kwa wanawake) mwanaume wako alivyo, maana unaweza kukuta HAIFANYI KAZI, au KADOGO SANA. Wengine husisitiza ni muhimu sana, maana wengine wana matatizo ya SEHEM HIZO, mfano unakuta ana nyeti zote 2, au nyet zake zimefanyiwa operation, hivyo haziko asilia. Wengine wanasema sio muhimu, mtajuana humo ndani mkioana! Sasa ipi ni njia sahihi?

Lazima tukumbuke kuwa kwa sasa tupo ktk dunia ya aina nyingine ya maisha na mbinu za maisha zimebadilika, kila kitabu huwa kina zama zake, zama za kusubiri mpaka muoane ndizo zimechochea nyumba ndogo nyingi katika ndoa za wazazi wetu, na zilikuwa nzuri kwa kipindi kile, kwa sasa, maisha ya mtu yapo akilini mwako si ya kushikiwa, ni vyema kuchua bidhaa ambayo unajua kuwa unauwezo wa kuitumia, lazima tutambue kuwa ndoa ni mkata halali kabisa ulio na vigezo vyote kisheria, ili msign mkataba huo kila kitu kinatakiwa kiwe disclosed kwa partie ktk mkataba huo, kuna vingine haviwezi kuwekwa wazi kwa maneno bali vitendo sasa hapo ndipo suala la shake wellbefore use linakuja. Wewe ukisubiri kuoa ndio ule tunda basi wenzio watakutafunia wakati ukiwa ktk waiting period. na wengine wanatumia suala la kusubiri kuficha vilema vyao kama yaliyosemwa na Rose 1980
 
Jamani wala!Nimekwambia ukweli nnavyofikiria...usifanye watu wanachotaka ufanye!Kinachowafaa wao sio lazima kikufae na wewe...soo chukua maoni ya watu...changanya na yako alafu uamue kama uko tayari kununua mbuzi kwenye gunia ukija kufungua ukute ni kondoo au uchungulie kabla hujanunua!

teh,teh umenikumbusha lile dongo la Mkulu kwa wafanyakazi...." akili za Mgaya changanya na za kwako..." katika hili kuna ukweli huwezi kutendea kazi ushauri wa watu tu, check dini yako, tamaduni, uhalisia wa jambo, sababu za kufanya jambo, hali halisi ya dunia n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom