Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
- Thread starter
- #21
Hakuna binadamu asiye na kasoro, hata awe mzuri vp au awe na uwezo vp. Cha muhimu ni kuwekana wazi. Mtu anasema anakupenda, basi sharti akupende kama ulivyo, asibague kitu ktk mwili wako, na vile vile anaependwa kama nae anaguswa na upendo husika, basi nae awe mkweli na muwazi kama mwenzake ili kuondoa uwezekano wa kutamka "NAJUTA" hapo baadae. KILA KITU KINAPASWA KUWA WAZI KWA MPENZI WAKO