snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,704
- 23,632
Mwaga Pwenti mtani
pwenti nishazimwaga mtani we angalia vizuri huko juu!
Mwaga Pwenti mtani
Eeeh!Mwenyezi Mungu msamehee mhalibifu huyu.Naujua saaana mnato lakini siuzimikii hata kidogo........napenda pwapwapwa, tena nikuibie siri nimepata kigori cha Kingoni kishambashamba hivi na nimekiambia kitafute namna ya kutanua njia..mambo ya kubanana ya kazi gani!!
kwi kwi kwi kwi ngoja nifunge PC nirudi home.Mhhhh shabu inafanya iwe mnato lakini baada ya mda ikulu inatepweta na ukizowea sana ndio ukijisahau kuvaa chupi
ile kitu inaweza inalia kama firimbi ya refaa mpirani.....
Naujua saaana mnato lakini siuzimikii hata kidogo........napenda pwapwapwa, tena nikuibie siri nimepata kigori cha Kingoni kishambashamba hivi na nimekiambia kitafute namna ya kutanua njia..mambo ya kubanana ya kazi gani!!
Bado limao mixa na shabu,kitu hata kidole cha mwisho cha mtoto mchanga hakipiti. Sasa ubambane na 'hogo'..utaomba po kwanza!!
LMAO..yani mpaka ufike 2025, K zitakuwa zinapikiwa hadi wali nazi! Janaume ka jizi jizi tu,hata uishone kwa uzi,..
we shudnt!sharbu zinaharibu sana k !wadada tafadhalini sana hiyo minato mnatafuta mnaweza kuwa nayo bila kutumia sharbu.sharbu inaondoa naturality!vipo vitu unaweza kufanya unakuwa poa tu!
Huo mnato unakuaje!!, kunakuwa kama nta au!!.
mwenzangu,sharbu ni dawa sijui niseme sijui ni unga unga ambao unaweka kwenye k ili iwe ndogo,wanaamini inakuwa kama ya mtoto,sasa kina dada wanaifanya hii kitu bila kujuaa mdhara yake ambayo ni makubwa sana,kimsingi ukavu wa k ukiwa wa asili ndio poa haya ya kufoji haya kuna siku watu wataziweka k cement oh!
shabu ni local aluminium potassium sulfate huwa inatumika kwa ajili ya kutibu maji yaani ni flocculant so it does the flocculation or coagulation activity in water treatment.
shabu hii kwasababu ya kuwa na mchanganyiko huo huwa inatabia ya kukakamaza misuli. inapokuwa applied ukeni hubana misuli ya uke na kufinya njia ya uke kwa muda. hili likifanyika uke huwa mdogo na ndipo watu husema kuwa ni mnato.
side effects zake.
kwanza aluminium husababisha alhzemer's desease
lkin pia shabu huwa ikishapitisha muda action yake hutoweka na hapo hufanya misuli ya uke kuwa kama lapu lapu vile. yaani ukitaka kuelewa ni kama vile mtu anayeweka spirit kwenye kidonda inauma sana kwa wakati ule ila baada ya muda maumivu hutoweka na eneo huweza kuwa contacted tena na vijidudu kama halijahifadhiwa vyema.
Nilisoma mtandao mmoja jamaa anaomba ushauri..eti kamuoa mke bikira lakini baada ya muda k ikalegea mbaya...afu baadae tena ikawa tight...anaomba ushauri...
Naona huyo alikuwa mteja wa shabu...hakuna cha bikira wala mnato. Lol.