si ndio hapo! bora umesema mwenyewe, lazima yeye afanye kweli lasivo anajua kitanzi juu!
alafu wanaume wa hehe sio wa kubipu kupata mimba. teh teh teh, ukijifanya kutoa imekula kwako hadi kaburini.
me proud of u too Paxie
Bishanga yaani nahisi kama maumivu yanajirua upya.....we acha tu........yaani kumbe!.........lakini mara nyingi uwa wanaleta visingizio vya ugonjwa, mara mgongo ooh tumbo na hata stress za ofisini.......sina hata hamu
umeona eeehhh?? mazindiko yatoka enzi hayo, mi niliapa kutokuolewa na mhehe, i used kumuona dad wangu amapolala kichwani kwake kuna mkuki! basi toka hapo nilipokujaga kujua sikutaka kabisa kuolewa na mhehe. yaani ticah pale ndio ungekufa, eti kufake?! ungejua graves zikoje? ila ticah leo u hav made my day, nimependa the faking issue!
kama one, one watu wanafake! what about 3some na nyinginezo??? huko ndio noumer!teh teh teh, ndio nimeileta hivo. ipo sana.
nikichoka kukiss nakula kote maadam si nje ya maumbile yako darlin..!utani kiss kote nitakako Paxie?
Cacico this lyf wacha iitwe life. unaweza nipa zote,
c wajua shilingi ina pande mbili na zote zina ubora wake? amua nipe pole ama hongera.