Mapenzi: Eti nikiolewa na maskini atanisumbua sana?

bora upate maskini wa mali,kuliko ukutane na maskini wa mawazo/akili n a roho!achana na kingo hizo,jilipue coz hakuna formula.
 
Da!!! Hakika JF pana utajiri wa majibu, utapata majibu ya ukweli, ya kufurahisha, ya kutia moyo, yenye kuhitaji ufafanuzi, yenye kukatisha tamaa,yenye kuliwaza,ya kitaalam zaid,ya kutumia uzoefu.....ukiwa uwanja wa JF no stress at all.......ASANTE WADAU WA JF.

Karibu kwa kweli JFinafurahisha, unaweza usikanyage nje siku nzima siku za week end
 
Yani mimi napenda sana niolewe na maskini ili nimtunze mimi! Ukweli hakuna anachoweza kukosa kwangu na uzuri vyote ni haki na vya kupewa na Bwana. Sasa eti nimejaribu sana kutafuta maskini ila awe na sifa za kujiheshimu, mcha Mungu lakini sipati! Mama ameniambia eti watanitesa sana. Nisaidieni eti kweli watanitesa?

mwambie sitakutesa kabisa
 
Mi bado sijajua huyo maskini mnayemuongelea ni maskini wa namna gani.
Kiwete, tahira, mjinga au..........
AU kwakuwa kipato changu ni sh 500 cha kwako 1000 basi mi maskini.
Ni maskini wa aina gani huyu mnaemuongelea hapa????
Dada maskini tu yaani hana kipato!
 
Yani mimi napenda sana niolewe na maskini ili nimtunze mimi! Ukweli hakuna anachoweza kukosa kwangu na uzuri vyote ni haki na vya kupewa na Bwana. Sasa eti nimejaribu sana kutafuta maskini ila awe na sifa za kujiheshimu, mcha Mungu lakini sipati! Mama ameniambia eti watanitesa sana. Nisaidieni eti kweli watanitesa?

anaweza akakusumbua au asikusumbue. Kikubwa upate yule atakayekuwa amekupenda kwa dhati, unaweza ukapata sharobaro akakuchuna akachapa lapa.
Upate unayeendana nae umri. Ukimzidi umri inaweza ikasumbua kwenye mahusiano yenu hasa kwa upande wake.
Unaposema kumlea, sio umuweke ndani awe baba wa nyumbani, unaweza kumfungulia biashara.
Hongera kwa moyo huo. Mimi hata siwezi.
 
Back
Top Bottom