carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
well, ningetamani kujua life style yao, huwa wanakaa kila mtu kivyake au na wazazi? wanakazi? wanatoka out kidogo siku moja moja moja?, kama jibu ya hayo maswali ni ndio, then there is no true live, simaanish true love ni mapenzi ila kwa mtu ambae mna uhusiano wa miaka mitati, mko free na mna kipato, what else?? huyo bro aangalie, lazima atakuwa na marafiki wema wanaomsaidia kazi!!!! , na huyo dada anajiamini sana maana mahusiano ya sasa yanavyovunjika ovyo akama outbreak ya swine fluu.
Hapo hapendwi mtu, jamaa achape lapa tu! angekuwa anamfeel jamaa miaka mitatu yote angeshamuonjesha tunda otherwise anamuibia tu, yani wizi mtupu.