Eti jamani ni kweli mchumba anatafutwa kwa mitandao kama huu
Eti jamani ni kweli mchumba anatafutwa kwa mitandao kama huu
jf is never boringWanfurahisha! Source: FF.
haaaaaaaa haaaaaaa haaaaa.nimecheka kweli.mbona mambo ya key board mazuri tu.unakuwa dunia nyengine kabisandiyo, unaweza kumtafuta mchumba humu lakini wengi wanapenda kuoana kwenye keyboard, kuonana ni No!