Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,203
- 79,433
Je, kuna mtu ana copy ya draft constitution ya CUF aliyokabidhiwa katibu mkuu wizara ya sheria na katiba, Mr Oliver Mhaiki.
Maana naskia ina mapendekezo kwenye vifungu 36 na ina vipengele 130 katika kurasa 88. Ningepanda kuisoma...
BTW hongera kwa kujaribu kuandamana wana CUF
Maana naskia ina mapendekezo kwenye vifungu 36 na ina vipengele 130 katika kurasa 88. Ningepanda kuisoma...
BTW hongera kwa kujaribu kuandamana wana CUF