Mapendekezo ya katiba mpya CUF

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,203
79,433
Je, kuna mtu ana copy ya draft constitution ya CUF aliyokabidhiwa katibu mkuu wizara ya sheria na katiba, Mr Oliver Mhaiki.

Maana naskia ina mapendekezo kwenye vifungu 36 na ina vipengele 130 katika kurasa 88. Ningepanda kuisoma...

BTW hongera kwa kujaribu kuandamana wana CUF
 
CUF wameitisha press conference kesho saa 5 asubuhi ofisini kwao Buguruni ambapo watagawa nakala za katiba hiyo mbadala kwa media.
 
Back
Top Bottom