Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,289
- 92,376
Tunapojadili katiba mpya maana yake ni kwamba tunataka kubadili mifumo ya utawala, kwahiyo swala la kuwadhibiti linawezekana na liko ndani ya uwezo wetu, hakuna mtu anaezaliwa akiwa mbadhirifu, hawa wakurugenzi wote kabla ya kupewa ajila serikalini semina elekezi inatakiwa iwe China, wakirudi kutoka kule China na wakakuta hapa katika mfumo wetu wa sheria tume endorse vifungu vile wanavyovitumia Wachina kwa wabadhirifu na wala rushwa hatutokuwa natabu kuhusu wabadhirifu, Nyerere alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu alimaanisha kwa vitendo kwamba rushwa ni adui wa haki.wakurugenzi wa halmashauri unawadhibiti vipi kwa wizi na ubadhirifu?
maana waliopo sasa karibu wote ni majambazi wakubwa..