Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Wajameni nimemfumania dem wa jamaa yangu leo mapema yupo na njemba gest ambayo nami nilikua navinjari manzi flan wa kitaa. Ni bahati mbaya kwa huyo dem manake hakua anajua kama nami ningekua pale gest. Kwa kujistukia ameniandikia sms akiniomba nisiseme kwa jamaa nilichoshuhudia, na ameniahidi atanipa chochote endapo ntapiga kimya. Mnanishauri vipi wajamen..