white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,307
- 13,269
mapato ya mechi ya yanga na zamaleki, yametangazwa kuni ni milion 280!!huku wadau wengi wakipata wasiwasi na kiasi hicho kutokana na kampuni ya prime time promotion kusimamia pambano hilo na kujitahidi kuziba mianya mingi,ya hujuma ya mapato,na tiketi ziliuzwa sana hadi kuisha hususani zile za buku 3,na 7,na uwanja zaidi ya robo 3 ulijaa!inakuwaje ipatikane kiasi kidogo hivyo,na yanga wanatakiwa kulipa deni lao la milion 60,walilokopa toka prime time,ndio hesabu iende sawa,hapo patam.hawa prime time,hata wasingesimamia kiasi hicho kingeweza patikana,mbwembwe nyingi mashine za kukagulia tiketi kumbe c lolote,walileta usumbufu 2,na kama wangeendelea kutumia mashine zao,wa2 wangekuta mechi iko ktk dk 4 za nyongeza,mechi kumalizika.