itakubidi uzohee ndio mambo ya dunia ya sasa
Yaani vyuoni ndo usipime!!! Mabinti toka mikoani wakifika chuo kama mlimani ni mwez mmoja tu wametupa viwalo vya heshima wanaanza kupiga "jeki" manyonyo yaan si hilo tu siku hzi vibana misuli vinavaliwa mchana kweupe juu ya kigauni kifupi kama nin vile..yote wanavutia wanaume ingekuwa mtu anavaa hata mluzi apigiwi wiki moja tu adabu ishamjia sasa bahati mbaya si wanaume tu WAROHO unashangaa papai kupigwa jeki kumbe asipoweka jeki ni kandambili ya Umoja? Wanawake shukuruni Mchina kawasaidia sana kuwapoteza
kweli kabisaaaaaaaaaaaaa, ndio mambo ya kisasa hayo
Natamani Sana Strip Clubs zije na Tanzania
vip mwisho wa siku mtaanza tembea uchi wa mnyama nini???????????hapo bado baba maendeleo ndo yanazidi kutuzingua utaona fashion nyingine zaid ya hayo matiti unayoyashangaa.
kama kweli ni mabo ya kisasa mtaishia kutembea bila hata mdanga,maana hao mnaowaiga wamefikia hapo
Hiv wanavyodai wanaenda na wakati, Hawajiuliz huowakat unakowapeleka? Ukilinganisha na ulikowatoa?
Yani mpaka walio kwenye ndoa wanapandisha juu manyonyo na "unaachiwa uyaone kiasi" we dada umeolewa unanyonyesha mtoto usikute bado tu ukawaanikie wanaume wa nje?
NOTE: Angalizo enyi akina dada wa dot.com wapandisha manyonyo na kupaka dawa za kichina kwenye Hips na buttocks hampendezi kama wale walio katika asili yao na wanavaa shwari
Yaani vyuoni ndo usipime!!! Mabinti toka mikoani wakifika chuo kama mlimani ni mwez mmoja tu wametupa viwalo vya heshima wanaanza kupiga "jeki" manyonyo yaan si hilo tu siku hzi vibana misuli vinavaliwa mchana kweupe juu ya kigauni kifupi kama nin vile..yote wanavutia wanaume ingekuwa mtu anavaa hata mluzi apigiwi wiki moja tu adabu ishamjia sasa bahati mbaya si wanaume tu WAROHO unashangaa papai kupigwa jeki kumbe asipoweka jeki ni kandambili ya Umoja? Wanawake shukuruni Mchina kawasaidia sana kuwapoteza
Yaani vyuoni ndo usipime!!! Mabinti toka mikoani wakifika chuo kama mlimani ni mwez mmoja tu wametupa viwalo vya heshima wanaanza kupiga "jeki" manyonyo yaan si hilo tu siku hzi vibana misuli vinavaliwa mchana kweupe juu ya kigauni kifupi kama nin vile..yote wanavutia wanaume ingekuwa mtu anavaa hata mluzi apigiwi wiki moja tu adabu ishamjia sasa bahati mbaya si wanaume tu WAROHO unashangaa papai kupigwa jeki kumbe asipoweka jeki ni kandambili ya Umoja? Wanawake shukuruni Mchina kawasaidia sana kuwapoteza
Kweli kabisa mwambie uyooooooooooooooohapo bado baba maendeleo ndo yanazidi kutuzingua utaona fashion nyingine zaid ya hayo matiti unayoyashangaa.
Ni vivutio vya utalii!
Jamani jifunzeni kuangalia kwa macho na si kwa akili. Usiweke hapo akili yako.