Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
hapa hakuna kinachofanika, mi siko nyumbani lakini nimsesikia jinsi walivyotetewa akina hosea na mwanyika kuwa hawana hatia na juu ya richmond. riport ile ilikuwa wazi na ilieleza wazi wazi kabisa.
mabadiliko yanahitajika tena tubadilike toka ndani kabisa.sasa hivi niko sanoma ripori ya mwnakijiji hapa juu ya meremeta,ninachokiona siamini.nadhani hapa ndo pa kuanzia kama kweli tunataka mabadiliko
mabadiliko yanahitajika tena tubadilike toka ndani kabisa.sasa hivi niko sanoma ripori ya mwnakijiji hapa juu ya meremeta,ninachokiona siamini.nadhani hapa ndo pa kuanzia kama kweli tunataka mabadiliko