Mapaja wazi

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Ivi inakuaje ukimwona msichana aliyevaa kwa heshima afu kwa bahati mbaya ukaona paja lake karibia na maeneo nyeti, mzee mzima unakua mkubwa ghafla.

Lakini mwanamke huyohuyo akivaa bikini akapitambele yako mfano wakati wa mashindano ya umisi au kuogelewa,,husimamishi kiviile?
 
Ivi inakuaje ukimwona msichana aliyevaa kwa heshima afu kwa bahati mbaya ukaona paja lake karibia na maeneo nyeti, mzee mzima unakua mkubwa ghafla.

Lakini mwanamke huyohuyo akivaa bikini akapitambele yako mfano wakati wa mashindano ya umisi au kuogelewa,,husimamishi kiviile?

KakaJambazi hapa vipi???

298366_10150379890338524_769138523_9939793_1681459797_n.jpg
 
Inategemea sana na maadili uliyonayo wewe binafsi............wengine wetu kuona utupu wa mwingine hovyo ni kero; siwezi kuwa excited.........nita sawijika kwa fadhaa!
 
Niliwahi kusoma uzi mmoja hapa kabla sijajiunga ulikuwa ukiwahoji wanaume kuwa, hivi wakiona uchi wa mwanamke wanapata nini?
Hivi walijiibu nini vile!?
 
Ivi inakuaje ukimwona msichana aliyevaa kwa heshima afu kwa bahati mbaya ukaona paja lake karibia na maeneo nyeti, mzee mzima unakua mkubwa ghafla.

Lakini mwanamke huyohuyo akivaa bikini akapitambele yako mfano wakati wa mashindano ya umisi au kuogelewa,,husimamishi kiviile?

Kuchungulia kunaraha yake mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom