Mapadre na mashehe wanaongeza uzinzi??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,954
22,125
Br n sis..kumradhi lakini mwisho wa siku nitakuja na mada moja nzuri zaidi ya hizi hasa katika kuelekezana hoja za mahusiano....kuna baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika wachungaji mapadre/mashehe wamekuwa wakishiriki katika kuongeza ama kuhimiza uzinzi katika dunia ya sasa

MAPDRE/WACHUNGAJI
Kwa wale wakristo kama inavyojulikana kuna baadhi ya vipengele vinaakataa kuoa ama kuolewa mara ya pili;kutokana na uhalisia wa sasa kumekuwa na wanawake wengi na wanaume wakiingia ndoani kama kujaribu kuvua wanapokutana na shughuli hata mwzi awafiki wanaachana wanakimbilia mahakamani....ok wanaachana..na unakuta kila mtu anaoa ama kuolewa kwa kusudio fulani..sasa basi inapofika mwenzako amesema mi sikuwezi naomba achana na mimi utamngangania mtu kama huyo...na je kama mkristo mwenzangu anitaki tena pamoja na kukimbizana kwa wachungaji hakikuwezekana na sitaki kuendelea kuishi bila ndoa ama KUZINI...ukimwi utaisha kweli???
NIFANYEJE???

MASHEKHE
Yaa kwa wale ndugu zetu kama mnavyojua wao wametunukiwa heshima ya kuweza kuoa wake 4...kwa hili wengi wa bin adamu wameona inachangia kuongeza uzinzi maana mtu anaweza kuamua kutafuta mke wa pili kama mjuavyo wengine kuamua kupima ama kutest kwanza ndipo mtego unapoanzia hapo..la hasha akaamua kumwacha kupata mwingine je kwa hili hii magonjwa ya ukimwi yataisha kweli...naomba usijibu kwa miadili ya dini jaribu kusaidia jamii kwa hili......
 
Br n sis..kumradhi lakini mwisho wa siku nitakuja na mada moja nzuri zaidi ya hizi hasa katika kuelekezana hoja za mahusiano....kuna baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika wachungaji mapadre/mashehe wamekuwa wakishiriki katika kuongeza ama kuhimiza uzinzi katika dunia ya sasa

MAPDRE/WACHUNGAJI
Kwa wale wakristo kama inavyojulikana kuna baadhi ya vipengele vinaakataa kuoa ama kuolewa mara ya pili;kutokana na uhalisia wa sasa kumekuwa na wanawake wengi na wanaume wakiingia ndoani kama kujaribu kuvua wanapokutana na shughuli hata mwzi awafiki wanaachana wanakimbilia mahakamani....ok wanaachana..na unakuta kila mtu anaoa ama kuolewa kwa kusudio fulani..sasa basi inapofika mwenzako amesema mi sikuwezi naomba achana na mimi utamngangania mtu kama huyo...na je kama mkristo mwenzangu anitaki tena pamoja na kukimbizana kwa wachungaji hakikuwezekana na sitaki kuendelea kuishi bila ndoa ama KUZINI...ukimwi utaisha kweli???
NIFANYEJE???

MASHEKHE
Yaa kwa wale ndugu zetu kama mnavyojua wao wametunukiwa heshima ya kuweza kuoa wake 4...kwa hili wengi wa bin adamu wameona inachangia kuongeza uzinzi maana mtu anaweza kuamua kutafuta mke wa pili kama mjuavyo wengine kuamua kupima ama kutest kwanza ndipo mtego unapoanzia hapo..la hasha akaamua kumwacha kupata mwingine je kwa hili hii magonjwa ya ukimwi yataisha kweli...naomba usijibu kwa miadili ya dini jaribu kusaidia jamii kwa hili......

Mama 100,

Hebu kwanza tangaza kama una "conflict of interest" kwenye mada zako au kuna kingine unatafuta?

Hata hivyo leo umenikumbusha mbali sana (angalia rangi nyekundu), kuna mwalimu wangu alikuwa anaitwa mnyama fulani ngombe!!:rolleyes:
 
Pope Benedict said in Cameroon that "Religion is the basis of human civilization and he returned to one of the key themes of his papacy, saying there is no incompatibility between faith and reason".
 
kwa ndoa za wakristo hairuhusiwi kutengana ndio maana kanisani wanaapa watavumiliana kwa shida na raha hadi kifo kiwatenganishe. Na hata wanandoa wakitengana hawaruhusiwi tena kufunga ndoa jingine.

Kwa waislamu hapo ndio mmmh!!
 
Dini ama Mapadre ama Mashehe wote wamekuwepo toka zamani kabla hilo balaa la ukimwi. Hamna dini inayoruhusu uzinzi isipokuwa labda dini ya mashetani. Nasema dini ya mashetani sababu yeye shetani ndiye anaye mwelekeza mtu afanye uzinzi au uasherati na kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Mapadre na Mashehe wanafundisha anayotaka Mungu si venginevyo.

Nashangaa kuona kwamba wanasiasa pia wanahisia kama hizo za kwako pengine. Sasa tuwaweke ama tuwaelewe mupo katika kundi gani? kundi la Mungu au la Shetani?
 
kwa ndoa za wakristo hairuhusiwi kutengana ndio maana kanisani wanaapa watavumiliana kwa shida na raha hadi kifo kiwatenganishe. Na hata wanandoa wakitengana hawaruhusiwi tena kufunga ndoa jingine.

Kwa waislamu hapo ndio mmmh!!

Hata kwa uzinzi...!?
 
Aaaghrrrrrrrrrrrrrrrr,,, Mama Mia umeniudhi. Nilifikiri una zungumzia jinsi hawa jamaa walivyo WAZINZI wakuu kumbe ni kutengana kwenye ndoa? Kwaheri!
 
Br n sis..kumradhi lakini mwisho wa siku nitakuja na mada moja nzuri zaidi ya hizi hasa katika kuelekezana hoja za mahusiano....kuna baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika wachungaji mapadre/mashehe wamekuwa wakishiriki katika kuongeza ama kuhimiza uzinzi katika dunia ya sasa

MAPDRE/WACHUNGAJI
Kwa wale wakristo kama inavyojulikana kuna baadhi ya vipengele vinaakataa kuoa ama kuolewa mara ya pili;kutokana na uhalisia wa sasa kumekuwa na wanawake wengi na wanaume wakiingia ndoani kama kujaribu kuvua wanapokutana na shughuli hata mwzi awafiki wanaachana wanakimbilia mahakamani....ok wanaachana..na unakuta kila mtu anaoa ama kuolewa kwa kusudio fulani..sasa basi inapofika mwenzako amesema mi sikuwezi naomba achana na mimi utamngangania mtu kama huyo...na je kama mkristo mwenzangu anitaki tena pamoja na kukimbizana kwa wachungaji hakikuwezekana na sitaki kuendelea kuishi bila ndoa ama KUZINI...ukimwi utaisha kweli???
NIFANYEJE???

MASHEKHE
Yaa kwa wale ndugu zetu kama mnavyojua wao wametunukiwa heshima ya kuweza kuoa wake 4...kwa hili wengi wa bin adamu wameona inachangia kuongeza uzinzi maana mtu anaweza kuamua kutafuta mke wa pili kama mjuavyo wengine kuamua kupima ama kutest kwanza ndipo mtego unapoanzia hapo..la hasha akaamua kumwacha kupata mwingine je kwa hili hii magonjwa ya ukimwi yataisha kweli...naomba usijibu kwa miadili ya dini jaribu kusaidia jamii kwa hili......


Katika kukusaidia hili la uzinzi na viongozi wa dini kwanza ukumbuke kuwa hao Mapadre na Mashehe ni binaadamu kama sisi. Wao wameumbiwa kukosea na wao pia wameumbwa na roho zenye kufanya jambo kwa makusudio fulani.
Nini maana yangu? Ni kuwa kati ya hao Mapadre na Mashehe wapo ambao wanajiingiza kwenye shughuli za kuongoza dini kwa makusudi mengine zaidi ya kuendeleza dini na wapo ambao hujiunga kwa lengo hasa la kidini. Kati ya makundi haya mawili hili kundi la mwanzo hata wakishiriki uzinzi basi si bahati mbaya na hili kundi la pili makosa ya uzinzi kwao ni bahati mbaya sana. Kwa upande wa uislamu ambao ninaujuwa kuna sura makusudi za hawa kama wanavyoitwa WANAFIKI ama kwa upande wa pili sielewi. Pia tutie maanani kuwa makatazo haya hayajaletwa kwa Mapadre na Mashehe peke yao bali kwa waumini wote hivyo hata sisi waumini tunakuwa wanafiki iwapo tunajuwa kuwa mola wetu kakataza zinaa na sisi tunaiendeleza.
Kuhusu kuwa na wake wanne kuwe ni njia ya kueneza ukimwi tabaan inawezekana ikawa hivyo iwapo washiriki wa ndoa hiyo ni WANAFIKI. Tunapozungumzia ndowa na unafiki upo hata kwa asie na ndowa boyfriend/girlfriend. Asie mnafiki kwa mola wake hawezi kupata ugonjwa wa ukimwi kwasababu asie mnafiki ni mwaminifu na tunaambiwa kuwa kuepuka ukimwi huna budi kuwa mwaminifu.

Kuhusu hili la talaka kama nimekufahamu vizuri sifikiri kuwa iko dini inayolazimisha kuwa mwanamke haachiki hata akiwa ameshavuka mipaka ya maamrisho ya ndowa. Hoja iwe upo ushahidi wakutosha. Mwenyezi mungu kwa kupitia dini ya uislamu anaiita talaka kama 'Haki anayoichukia' lakini kwa misingi fulani talaka ni haki kwa pande zote mke na mume.
 
masheikha wa kweli hawaongei uzinzi ndo maana hawaoni tabu kumchapa kofi yeyote,pahala popote yule mtovu wa heshima anaeongea uzinzi, Mw'mungu amesem " wala MSIKARIBIE zina, hakika ni njia mbaya na uchafu" {Qur an,17:32}
 
kwa ndoa za wakristo hairuhusiwi kutengana ndio maana kanisani wanaapa watavumiliana kwa shida na raha hadi kifo kiwatenganishe. Na hata wanandoa wakitengana hawaruhusiwi tena kufunga ndoa jingine.

Kwa waislamu hapo ndio mmmh!!

Hao wanaotengana wananyanganywa na zana zao? Binaadamu na uhuru halali na njaa na ndio atazidi kubadilisha leo huyu kesho yule si yu mjane.
 
Back
Top Bottom