Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,954
- 22,125
Br n sis..kumradhi lakini mwisho wa siku nitakuja na mada moja nzuri zaidi ya hizi hasa katika kuelekezana hoja za mahusiano....kuna baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika wachungaji mapadre/mashehe wamekuwa wakishiriki katika kuongeza ama kuhimiza uzinzi katika dunia ya sasa
MAPDRE/WACHUNGAJI
Kwa wale wakristo kama inavyojulikana kuna baadhi ya vipengele vinaakataa kuoa ama kuolewa mara ya pili;kutokana na uhalisia wa sasa kumekuwa na wanawake wengi na wanaume wakiingia ndoani kama kujaribu kuvua wanapokutana na shughuli hata mwzi awafiki wanaachana wanakimbilia mahakamani....ok wanaachana..na unakuta kila mtu anaoa ama kuolewa kwa kusudio fulani..sasa basi inapofika mwenzako amesema mi sikuwezi naomba achana na mimi utamngangania mtu kama huyo...na je kama mkristo mwenzangu anitaki tena pamoja na kukimbizana kwa wachungaji hakikuwezekana na sitaki kuendelea kuishi bila ndoa ama KUZINI...ukimwi utaisha kweli???
NIFANYEJE???
MASHEKHE
Yaa kwa wale ndugu zetu kama mnavyojua wao wametunukiwa heshima ya kuweza kuoa wake 4...kwa hili wengi wa bin adamu wameona inachangia kuongeza uzinzi maana mtu anaweza kuamua kutafuta mke wa pili kama mjuavyo wengine kuamua kupima ama kutest kwanza ndipo mtego unapoanzia hapo..la hasha akaamua kumwacha kupata mwingine je kwa hili hii magonjwa ya ukimwi yataisha kweli...naomba usijibu kwa miadili ya dini jaribu kusaidia jamii kwa hili......
MAPDRE/WACHUNGAJI
Kwa wale wakristo kama inavyojulikana kuna baadhi ya vipengele vinaakataa kuoa ama kuolewa mara ya pili;kutokana na uhalisia wa sasa kumekuwa na wanawake wengi na wanaume wakiingia ndoani kama kujaribu kuvua wanapokutana na shughuli hata mwzi awafiki wanaachana wanakimbilia mahakamani....ok wanaachana..na unakuta kila mtu anaoa ama kuolewa kwa kusudio fulani..sasa basi inapofika mwenzako amesema mi sikuwezi naomba achana na mimi utamngangania mtu kama huyo...na je kama mkristo mwenzangu anitaki tena pamoja na kukimbizana kwa wachungaji hakikuwezekana na sitaki kuendelea kuishi bila ndoa ama KUZINI...ukimwi utaisha kweli???
NIFANYEJE???
MASHEKHE
Yaa kwa wale ndugu zetu kama mnavyojua wao wametunukiwa heshima ya kuweza kuoa wake 4...kwa hili wengi wa bin adamu wameona inachangia kuongeza uzinzi maana mtu anaweza kuamua kutafuta mke wa pili kama mjuavyo wengine kuamua kupima ama kutest kwanza ndipo mtego unapoanzia hapo..la hasha akaamua kumwacha kupata mwingine je kwa hili hii magonjwa ya ukimwi yataisha kweli...naomba usijibu kwa miadili ya dini jaribu kusaidia jamii kwa hili......