Mapadre/mashehe/wachungaji: Mmemsikia Lusekelo?

Truth be told, alichofanya lusekelo ni sahihi kabisa, kuna wengine wanadiriki kusema wataamrisha waumini wao waigomee serikali yao hadi mapendekezo ya upinzani yakubaliwe. hii ni sawa na jamaa mmoja huwa anachangia sana ujenzi wa makanisa, lakini hajasikika akichangia hata yunifomu za watoto walioathiriwa na mafuriko desemba, watu wapo kimaslahi zaidi bila kuangalia utu
 
Jamaa huyu aliwahi kusema eti alipona TB kwa njia ya maombi..si awafundishe wagonjwa hayo maombi aliyotumia.
 
sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa mbiguni; lusekelo anataka aingie kwenye system hamja msoma tuu
 
mimi siyo mchungaji wala shehe, kwa hiyo sijibu. nasubiri majibu ya Ex pastor na Fr. masanilo kwa hamu.
 
Huyu ni darasa la saba,nani asiyejua???haelewi maana ya ajira na stahiki zake,anashindwa kuelewa kuwa udaktari sio huduma kama ilivyo ya kanisa kama ni kuua basi aliyeuwa na anayepaswa kulaumiwa ni serikali.
 
Antony Lusekelo (Mzee wa upako) anawauliza hivi:
1. Mchakato wa Katiba mpya mlionekana kurasa za mbele za magazeti na kofia (viongozi wa dini kubwa kubwa-kwa maneno yake) , sasa watu wnakufa mbona hamkemei wanaoua watu kwa kudai posho na mishahara- Maandiko yanasema madaktari wana ruhusa ya kuua?
2. Kuna tofauti gani kati ya wauaji wa albino wanaoua li kupata fedha na madaktari wanaoua ili nao kupata fedha?
3. Kuna tofauti gani kati ya jambazi anayeua kupata fedha na madaktari wanaoua kupata fedha?
Source: channel Ten 8/02/2012 at 9.30 PM

Maaskofu/ Mashehe mjibuni.

.
Ni kweli mtoto asiepewa heshima nyumbani kwake, anapoongea ni lazima amtaje yule anaepewa heshima ili angalau kauli yake ipewe uzito. Ya lusekelo ni kauli ya mchungaji wa kujiweka mwenyewe dhidi ya wachungaji wa kuwekwa. Kwani hawezi kuzungumza yeye kama yeye akasikilizwa asipojilinganisha na watumishi wengine?
.
 
Sadaka za wafuasi zinampa kiburi! Ngoja waumini wagome kutoa
uone kama na yeye hajagoma!
 
Call a spade spade....Hongera mchungaji sijawahi kukufagilia hata siku moja lakini kwa hili umepasua jipu. Huu ndio ukweli ambao wenye mawazo mepesi hawauoni.... Unawalaumu wabunge kwa kujiongezea posho wakati unawaunga mkono madaktari kwa kudai mil 17.

Aisee umeona yee, wote wanalilia malipo manono na si kufanya kazi vizuri; yes madrs nao wanafanya madudus unproffesional hapa Tanzania, kama watu wengine, umalaya, pombe na Mshiko...hawana huruma wala ubinadamu..

Wawepo watu wakuambia ukweli hawa jamaa
 
Viongozi wa dini kubwa kubwa anaowalaumu Mzee wa Upako, wanamiliki na kuendesha baadhi ya hospitali kubwa za rufaa na wilaya hapa nchini. Mgomo huu unawahusu kwa sababu madaktari waliogoma wanaathiri pia huduma katika hospitali zao. Kwa hiyo walijikuta katikati ya ugomvi wa madaktari na serikali. Hawawezi kuwa serikali wakawa salama, na hawawezi kuwa madaktari "intgrity" yao ikabaki salama.
Vipaumbele vibovu vya serikali na rushwa iliyokithiri ndicho chanzo cha mgomo huu. Uwezo wa Mzee wa Upako kuona haya haupo.

 
huyu ana pepo wa kisasi katika kauli yake .utagundua ndugu yake wa kuzaliwa alifariki hospitalini .akakiona kitendo hicho cha kufa kilisababishwa na madaktari .na si mapenzi ya mungu ,kwa hiyo leo kwa sababu yuko vema kiuwezo ameamua kulipiza kisasi kwa madaktari ,sio zaidi hilo
 
Antony Lusekelo (Mzee wa upako) anawauliza hivi:
1. Mchakato wa Katiba mpya mlionekana kurasa za mbele za magazeti na kofia (viongozi wa dini kubwa kubwa-kwa maneno yake) , sasa watu wnakufa mbona hamkemei wanaoua watu kwa kudai posho na mishahara- Maandiko yanasema madaktari wana ruhusa ya kuua?
2. Kuna tofauti gani kati ya wauaji wa albino wanaoua li kupata fedha na madaktari wanaoua ili nao kupata fedha?
3. Kuna tofauti gani kati ya jambazi anayeua kupata fedha na madaktari wanaoua kupata fedha?
Source: channel Ten 8/02/2012 at 9.30 PM

Maaskofu/ Mashehe mjibuni.

Hiyo inaitwa siasa na dini maana tangia ccm waanze kumtumia amekuwa mropokaji na mkurukaji kama wao
 
Aongee yeye kutimiza wajibu wake, na sio kuangalia nani hajaongea!

Mwenzenu keshazoea kufuata mkumbo ndo maana anawataka waanze ili nae afuate pia anataka umaarufu kashaona bila hivyo nae hataonekana kwenye vichwa vya habari
 
Watu hufa kwa siku zao kutimia, kushindwa kupata huduma sahihi au kukataliwa huduma sahihi.
Asilimia kubwa walikuwa wanakufa kimya kimya kwa kukosa huduma sahihi yani serikali kushindwa kuweka kipaumbele kwenye kuboresha huduma katika mahospitali yake.
Hawaweki vifaa, wakiweka hawavitunzi. haweki wataalam wakiweka hawawatunzi.
Hawanunui dawa, wakinunua wanachakachua wenyewe..
Mnaosema warudi kazini, huwa mnatibiwa huko?

Mkuu siyo kosa laki tatizo ni kuingiza diniccm na nadhani mambo yake anafanya bila kufikiria pia yeye si huwa anatibiwa naijeria so tabu za hapa hazijui
 
Antony Lusekelo (Mzee wa upako) anawauliza hivi:
1. Mchakato wa Katiba mpya mlionekana kurasa za mbele za magazeti na kofia (viongozi wa dini kubwa kubwa-kwa maneno yake) , sasa watu wnakufa mbona hamkemei wanaoua watu kwa kudai posho na mishahara- Maandiko yanasema madaktari wana ruhusa ya kuua?
2. Kuna tofauti gani kati ya wauaji wa albino wanaoua li kupata fedha na madaktari wanaoua ili nao kupata fedha?
3. Kuna tofauti gani kati ya jambazi anayeua kupata fedha na madaktari wanaoua kupata fedha?
Source: channel Ten 8/02/2012 at 9.30 PM

Maaskofu/ Mashehe mjibuni.

mbona yeye hajafanya chochote zaidi ya kulipia pesa kwenye tv na kuongea... nini amefanya yeye kama mtanzania?
 
Huyo mpuuzi mnafiki anadhalilisha dini yetu ya kikirstu tumkee meee huyooo kwa jina la yesu roho ya unafiki imtokeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom