Mapacha Watatu

sisala

Member
Apr 14, 2012
74
14
jaman naomba kufaham wapi liliko gamba la bariadi (mzee wa vjisenti), cjamsoma kabsa bungeni kipindi hiki cha bunge.
au kaenda kutumia chenji ya ladar kaona posho ya bunge si lolote si chochote mbele ya vijisenti!
 
Back
Top Bottom