Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
James (left) and Daniel Kelly, twin brothers. Photograph: Martin Godwin for the Guardian
[h=1]Black and white twins[/h]
Hii ni mpya. Sijwahi kuona au kusikia tokea nizaliwe.
Mmhh badiri taito,yani huyo ndio mweusi tii? hahahaaaaaaaaaa,yani huyo akija tanzania ni bonge la hendisamu halfu ataitwa shombeshombe!
wanafanana sana , cheki izo pua kwanza, ila rangi ndo tofauti
yaani huyo wa kushoto ndo unamwita mweusi tii? hujafika Sudan kusini nini?
Hata kabla ya kuja Tanzania tayari ni bonge la hendisamuMmhh badiri taito,yani huyo ndio mweusi tii? hahahaaaaaaaaaa,yani huyo akija tanzania ni bonge la hendisamu halfu ataitwa shombeshombe!
Hii ni mpya. Sijwahi kuona au kusikia tokea nizaliwe.
Hii inaonesha ulikuwa unatoroka somo la baiolojia shuleni. Au hamkuwa na mwalimu?
Wakuu wakuu cha ajabu ni nini? kuna aina mbili za twins. kwanza ni Identical twins ambao hutokea pindi zygote splits into two embryos hawa kwanza ni lazima wawe jinsia moja na hufanana sana. Aina ya pili ni fraternal twins ambao hutokea pale mayai mawili hurutubishwa na sperms mbili tofauti. Hawa wanaweza kuwa jinsia moja au jinsia tofauti na hawafanani sana.
HAWA NI FRATERNAL TWINS
Mmhh badiri taito,yani huyo ndio mweusi tii? hahahaaaaaaaaaa,yani huyo akija tanzania ni bonge la hendisamu halfu ataitwa shombeshombe!