Jimjuls
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 483
- 160
Habari za leo,
Kuna Maonyesho ya kibiashara yanayoendelea jijini Arusha katika Hoteli ya Naura Springs.Hivi nikajiuliza...
Mbona hii nchi iko vitani na bado balozi zake zinadhubutu kufanya kazi?
Na je, wanatuonyesha nini (wasiria) wakati kwao mgogoro kila siku?au biashara haihusiani na siasa?
Mungu tusaidie, mi nadhani hata ubalozi wao ungekuwa umeguswa na yanayoendelea na si kushadadia biashara zao....
Kuna Maonyesho ya kibiashara yanayoendelea jijini Arusha katika Hoteli ya Naura Springs.Hivi nikajiuliza...
Mbona hii nchi iko vitani na bado balozi zake zinadhubutu kufanya kazi?
Na je, wanatuonyesha nini (wasiria) wakati kwao mgogoro kila siku?au biashara haihusiani na siasa?
Mungu tusaidie, mi nadhani hata ubalozi wao ungekuwa umeguswa na yanayoendelea na si kushadadia biashara zao....