Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
lolote laweza tokea from nowHii sinema inaelekea episode za mwisho mwisho. Na utabiri wangu ni kuwa pamoja na harufu za damu za wenye kuhisi kumiliki chama; pia CDM itakumbwa na mtikisiko mwingine mkubwa kupiti viongozi wake wa juu. Zitto na Mbowe watakuwa upande mmoja kupokea misaada ya EL na genge lake huku wakimficha Dr. Slaa. Dr. Slaa ataishia kupewa mabomu akalipue huku "wakuu" wakinufaika na kutoa makazi na uwanja wa kurushia makombora kuelekea ccm. Haya ni maono yangu tu!