Maoni

GEROTE

New Member
Oct 10, 2012
2
0
Napenda kuwakumbusha watanzania wote hasa wale tunaoishi maeneo ya vijijin tujitokeze kutoa maoni yetu kikamilifu.!
 
TAFADHALI : JF Members na Watanzania wote Wenye Mapenzi Mema kwa nchi yetu TANZANIA hamasisha kila mwananchi anayeweza kutuma maoni kwa njia ya POSTA kufanya hivyo.Pia Hamasisha wananchi wengi kadili iwezekanavyo watume Maoni ya MABADILIKO ya Katiba kwa kutumia barua pepe(Email and or email with email attachments) Wengi wa watakaoweza kutoa maoni ana kwa ana kwenye mikutano ya kukusanya Maoni ya Mabadiliko ya Katiba SHIRIKINI kwa wingi tafadhali.Msiwaachie watu wachache wenye Jukwaa la hiki au Jukwaa la kile ndio wao pekee watoe maoni juu ya mabadiliko kadha wakadha ya KATIBA ya TZ!!!!!!!!http:[h=3]Anuani - Zanzibar[/h]
  • S.L.P: 2775,
    Zanzibar.
  • Simu: +255 24 2230768
  • Nukushi: +255 24 2230769
  • Barua Pepe: katibu katiba.go.tz





Tovuti Tume ya Mabadiliko ya Katiba[h=3]Anuani - Dar es Salaam[/h]
  • S.L.P: 1681,
    Dar es Salaam, Tanzania.
  • Simu: +255 22 2133425.
  • Nukushi: +255 22 2133442.
  • Barua Pepe: katibu katiba.go.tz


Tovuti: Tume ya Mabadiliko ya Katiba
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom