TAFADHALI : JF Members na Watanzania wote Wenye Mapenzi Mema kwa nchi yetu TANZANIA hamasisha kila mwananchi anayeweza kutuma maoni kwa njia ya POSTA kufanya hivyo.Pia Hamasisha wananchi wengi kadili iwezekanavyo watume Maoni ya MABADILIKO ya Katiba kwa kutumia barua pepe(Email and or email with email attachments) Wengi wa watakaoweza kutoa maoni ana kwa ana kwenye mikutano ya kukusanya Maoni ya Mabadiliko ya Katiba SHIRIKINI kwa wingi tafadhali.Msiwaachie watu wachache wenye Jukwaa la hiki au Jukwaa la kile ndio wao pekee watoe maoni juu ya mabadiliko kadha wakadha ya KATIBA ya TZ!!!!!!!!http:[h=3]Anuani - Zanzibar[/h]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.