Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Habarini Wana Jamii wote. Napenda kupata maoni yenu kutokana na uzoefu ama uelewa juu ya jambo hili:-
Je ni sehemu gani nzuri kwa hapa Dar es Salaam ya kufanyia vikao vya Harusi au send-off kwa kuzingatia usafiri, Foleni na mengine mengi hasa kwa kuzingatia uwezekano mkubwa wa kuwahi kwenye vikao kwa muda uliopangwa ama kukubalika.
Naombeni Mawazo yenu
Asanteni
:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
Je ni sehemu gani nzuri kwa hapa Dar es Salaam ya kufanyia vikao vya Harusi au send-off kwa kuzingatia usafiri, Foleni na mengine mengi hasa kwa kuzingatia uwezekano mkubwa wa kuwahi kwenye vikao kwa muda uliopangwa ama kukubalika.
Naombeni Mawazo yenu
Asanteni
:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose: