kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
Hi all!
nimekuwa nikisoma gazeti la mwananchi leo na kuona nia ya mheshimiwa Zitto Kabwe kupitia kamati yake ya umma inayosimamia mashirika ya umma POAC kukagua juu ya fedha zilizokuwa zikitumika na wizara ya nishati na madini kuhonga ili bajeti zipite kwa miaka kadhaa iliyopita...
Rushwa hizi zinazoliwa kwa njia ya rushwa hata hivyo hazipo katika wizara hii pekee. hii imekuwa ni DESTURI ya miaka mingi ya serekali kupitia mashirika yake kupepelea ili bajeti zisizokuwa na mashiko zipite....
wito wanhu kwa mheshimiwa Zitto Kabwe ni kwamba kuna haja ya kulaunch SERIOUS FRAUD INVESTIGATION kwa wizara zote kwani zimekuwa zikila mabilioni ya shilingi kwa kupitia taasisi zake kila wakati wa bunge la bajeti kwa madai ya KUPEPELEA BAJETI ZA WIZARA ZAO!
naamini kabisa mkifanya utafiti huu kwa kushirikiana na mabank yaliyo na matawi dodoma na wafanyakazi kadhaa walio katika taasisi hizi za umma na wenye mapenzi mema na mama TANZANIA mtakuja na findings za AJABU SANA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
nimekuwa nikisoma gazeti la mwananchi leo na kuona nia ya mheshimiwa Zitto Kabwe kupitia kamati yake ya umma inayosimamia mashirika ya umma POAC kukagua juu ya fedha zilizokuwa zikitumika na wizara ya nishati na madini kuhonga ili bajeti zipite kwa miaka kadhaa iliyopita...
Rushwa hizi zinazoliwa kwa njia ya rushwa hata hivyo hazipo katika wizara hii pekee. hii imekuwa ni DESTURI ya miaka mingi ya serekali kupitia mashirika yake kupepelea ili bajeti zisizokuwa na mashiko zipite....
wito wanhu kwa mheshimiwa Zitto Kabwe ni kwamba kuna haja ya kulaunch SERIOUS FRAUD INVESTIGATION kwa wizara zote kwani zimekuwa zikila mabilioni ya shilingi kwa kupitia taasisi zake kila wakati wa bunge la bajeti kwa madai ya KUPEPELEA BAJETI ZA WIZARA ZAO!
naamini kabisa mkifanya utafiti huu kwa kushirikiana na mabank yaliyo na matawi dodoma na wafanyakazi kadhaa walio katika taasisi hizi za umma na wenye mapenzi mema na mama TANZANIA mtakuja na findings za AJABU SANA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA