Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Samahani mkuu kwa kutotoa informations zote.
Najua demand imekuwa met huko Arusha. Nyumba hiyo ipo Toledo, OH ambapo sio kijjini sana ila siyo rahisi kuipangisha.Pamoja na hayo nini hakika kuwa huu mji upo industrialized kuliko Arusha, umbasli wa social services,etc, kuhusu winter, sijui sehemu nyingine duniani, ila US snow huwa effects zake kwa mwananchi wa kawaida ni negligibly small.
Barabara zinasafishwa nyumba zina a/c etc. Ila kama ulivyosema, demand inaruhusu bei hiyo. Kama demand inaruhusu bei hiyo, kwanbini unafikiri watu binafsi hawainvest heavily in housing? kwenye mji kama Arusha?
Nadhani NHC wamepunguziwa regulatory constrains( I'm not sure) ili kuwajengea wananchi kama waalim, mapolisi, manesi etc waweze ku afford.
The point I was trying to make was, those apartments were expensive and they look like some projects. Hiyo ni biashara na wengi wataonunua watazipangisha kwa $.
Ofcourse hili ndiyo haswa tatizo naloliona na kulipredict kutokea. Lakini kwa mzingira ya ubepari uchwara na corrupt society kama Tanzania hilo huwezi kulikwepa. Kuhusu kujenga nyumba kwa aaffordable kwa manesi, polisi na general public servants community kiukweli ni lazima serikali i-chip in kwa sababu kwa mishahara ya Tshs 200000, hata kama ni yote inalipia mortgage kila mwezi. Kwa nyumba ya kisasa na nafuu basi unahitaji zaidi ya miaka 20 kulipia with interest.
All in all ni kwamba soko la nyumba Tanzania lipo, sema wabongo na utamaduni tuliozoea wa kutaka kutafutana na fundi Abdala, ufisadi, high interest rates za mikopo sometimes ndiyo vinakwamisha.
Halafu watu wanaona kununua nyumba kwa mortgage kama siyo sahihi vile!!!! Kwa utaratibu wetu siyo siri serikali kwa hizi hatua za mwanzo lazima iingilie kati!