Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Wakuu katika pitapita mtandaoni nimekutana na hii hapa, tunaweza kushiriki.
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja sasa vyombo vya habari nchini Tanzania na nje ya nchi vimekua vikiandika habari juu ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile wa kijijini Semunge huko Loliondo pamoja na dawa anayoendelea kutoa kwa maelfu ya wananchi wenye matatizo mbali mbali.
Tungependa kufaham maoni yako binafsi juu ya suala hili kwa kujibu maswali machache kwenye survey inayopatikana kwa ku-click link hapo chini. Inachukua dakika chache kujibu maswali na hatuhitaji kufaham jina lako. Matokeo ya takwimu yatatangazwa hapa siku chache zijazo Ahsante.
https://spreadsheets0.google.com/viewform?formkey=dEswRHpxZ3RJSzAzalBDYkVZMEs5N1E6MQ
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja sasa vyombo vya habari nchini Tanzania na nje ya nchi vimekua vikiandika habari juu ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile wa kijijini Semunge huko Loliondo pamoja na dawa anayoendelea kutoa kwa maelfu ya wananchi wenye matatizo mbali mbali.
Tungependa kufaham maoni yako binafsi juu ya suala hili kwa kujibu maswali machache kwenye survey inayopatikana kwa ku-click link hapo chini. Inachukua dakika chache kujibu maswali na hatuhitaji kufaham jina lako. Matokeo ya takwimu yatatangazwa hapa siku chache zijazo Ahsante.
https://spreadsheets0.google.com/viewform?formkey=dEswRHpxZ3RJSzAzalBDYkVZMEs5N1E6MQ