Siangalii kabisa.....Tunataka LIVE maoni ya wananchi wa kawaida na si watangazaji au wabunge wenyewe.........
vyombo vya habari taznaia magalasa kweli. Star TV sasa wametoweka rasmi hewani, wanarusha kipindi cha 'msanii wa mduara'
big shame!!!
waache si tunasubiri referendum NO zitakuwa 70%
waache si tunasubiri referendum NO zitakuwa 70%
Fuata mjadala wa katiba bungeni live hapa: VIZA TV on USTREAM: NEWS HEADLINES FROM DAR-ES-SALAAM, TANZANIA. VIZA TV THE KARMA SHOW SHOW NI GM ENTERTAINMENT LIVE.
Naupata mjadala hapa Live,Thanks Dingswayo.Fuata mjadala wa katiba bungeni live hapa: VIZA TV on USTREAM: NEWS HEADLINES FROM DAR-ES-SALAAM, TANZANIA. VIZA TV THE KARMA SHOW SHOW NI GM ENTERTAINMENT LIVE.