Ditto
Member
- Aug 30, 2010
- 56
- 41
FJM kama kawaida serikali itakuja na majibu mepesi kwenye maswali magumu. Mark my words, wataijibu hii hotuba kirahisi kwamba kama una shida na muungano basi peleka kero zako kwenye tume ya katiba. Wakati tatizo kuu lipo sasa na ambalo inawezekana hata hiyo tume isiweze kulirekebisha.
Wabunge wa Zanzibar wasipotumia fursa hii kufunguka kuhusu matatizo ya muungano, basi wakae kimya milele na wasitusumbue tena na kelele zao za kila siku kuhusu kero za Muungano.
Wabunge wa Zanzibar wasipotumia fursa hii kufunguka kuhusu matatizo ya muungano, basi wakae kimya milele na wasitusumbue tena na kelele zao za kila siku kuhusu kero za Muungano.
Last edited by a moderator: