Tanganyika na Zanzibar zinapashwa kuwa na katiba zao, na iundwe serikali ya muungano (Federal State).
Mamlaka ya Raisi yapunguzwe. Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Polisi na wakuu wa tarisi wateuliwe na Raisi baada ya kuthiitishwa na Bunge. Raisi apokonywe mamlaka ya kuvunja bunge. Sheria iruhusu mtu binafsi kugombea uraisi. Vyama viruhusiwe kumfukuza mbunge anayekwenda kinyume cha maadili ya chama. Raisi ashitakiwe kwa kutenda kazi kinyume cha katiba, uhaini na bunge lipewe ruksa ya kupiga kura kutokuwa na inami na Raisi. Hukumu ya kunyongwa ifutwe. Iundwe bodi au Commission itakayo hakiki na kuratibu kazi za waandishi wa habari.
Uhuru wa kuabudi uhakikishiwe na katiba na kuwe na adabu kali kwa mtu au chombo chochote kitakacho ingilia au kugeuka uhuru wa kuabudu. Dini zinazodhihaki au kuingilia dini nyingine, au kuingilia uhuru wa watu zipigwe marufuku.
Mambo ya nje, ulinzi na majeshi yawe chini ya Federal Government.
Mamlaka ya Raisi yapunguzwe. Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Polisi na wakuu wa tarisi wateuliwe na Raisi baada ya kuthiitishwa na Bunge. Raisi apokonywe mamlaka ya kuvunja bunge. Sheria iruhusu mtu binafsi kugombea uraisi. Vyama viruhusiwe kumfukuza mbunge anayekwenda kinyume cha maadili ya chama. Raisi ashitakiwe kwa kutenda kazi kinyume cha katiba, uhaini na bunge lipewe ruksa ya kupiga kura kutokuwa na inami na Raisi. Hukumu ya kunyongwa ifutwe. Iundwe bodi au Commission itakayo hakiki na kuratibu kazi za waandishi wa habari.
Uhuru wa kuabudi uhakikishiwe na katiba na kuwe na adabu kali kwa mtu au chombo chochote kitakacho ingilia au kugeuka uhuru wa kuabudu. Dini zinazodhihaki au kuingilia dini nyingine, au kuingilia uhuru wa watu zipigwe marufuku.
Mambo ya nje, ulinzi na majeshi yawe chini ya Federal Government.