Joel Kimbisa
2010-09-01
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi machoni, wala asiye mzembe wa kufikiri, anaalikwa asome kwa uangalifu na azingatie makala hii na awashirikishe ndugu, jamaa na marafiki zake popote pale walipo..
Jazba
Hayo ni matusi kwa watu neutral kama sisi,independent ambao hatukubaliani na either side of the aisle.I wonder wht he gonna do...may be to swallow his words..atapogundua kuwa he is in the NARC/PNU
Majukwaani wanadai tumechoshwa na miaka 50 ya CCM ambayo haikusaidia na kitu na badala yake kumdumaza Mtz......bila kukumbuka kuwa Mwl J.K Nyerere alishawahi kuwa mwenyekiti ndani ya miaka hiyo 50 of CCM failure....kwa hiyo kama CCM failed means Nyerere failed....but still munatufanya tuamini Dr.Slaa ni second after Mwalim katika kulihami taifa...HOW?In which SENSE?
Personally nimechoshwa completely na serikali ya CCM..na solution ipo wazi...kuing'oa madarakani,but am afraid kwamba tunatumia jazba na kukurupuka.
Bado na doubt wisdom ya wapinzani...to me it's but just politics.Nachoka zaidi ninapoona CHADEMA wanatetea kumweka VP mbumbu.....honestly hii ni CHAI.