bigjeff
Senior Member
- Oct 25, 2009
- 111
- 22
Ebwanaa habari wakuu nilikuwa kimya kidogo miangaiko ya hapa na pale sasa mi naomba mawazo na pia mtu mwenye interest yoyote ya kitu chochote kutoka UK,najipanga nije nyumbani baada ya muda kidogo kutokuwepo nyumbani kama miaka mitano sasa ninakikontena changu nataka nikijaze kidogo bidhaa ambazo naweza kuleta hapo nyumbani nikapata hela ya mafuta maana nasikia mafuta hayagusiki sasa kama naweza nikapata mawazo ya bidhaa zenye soko kutoka huku UK ningeshukuru au mwenye kutaka kitu kutoka huku UK humu jamvini angenipa order e-mail yangu ni ( jeff15tz@yahoo.com).AKHASANTENI.