Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
mimi sina kipaji cha uchambuzi au upembuzi yakinifu hivyo ningependa kusikia maoni ya great thinkers juu ya suala hili.
Je tunaonaje responce ya serikali dhidi ya chokochoko ya vikundi hivi?
Je kuna usawa katika kudhibiti ukiukwaji wa sheria uliofanywa na vikundi hivi?
Je intelijensia ya polisi imefanikiwa kujua malengo ya vikundi hivi?
Naomba tuwe fair na huru kama ilivyo tabia yetu.tusionee dini au chama flani
Je tunaonaje responce ya serikali dhidi ya chokochoko ya vikundi hivi?
Je kuna usawa katika kudhibiti ukiukwaji wa sheria uliofanywa na vikundi hivi?
Je intelijensia ya polisi imefanikiwa kujua malengo ya vikundi hivi?
Naomba tuwe fair na huru kama ilivyo tabia yetu.tusionee dini au chama flani