MAONI na MAPENDEKEZO ya CUF kwa Rais Kikwete: Soma nyaraka nzima...

Moderator please ondoa ujinga na ushenzi huu wote maana hapa tunajadili waraka wa CUF na hivyo mnapoanza kuzungumzia Uislaam vs Wakristu inaonyesha wazi kwamba chuki zenu hazina kipimo hata kidogo. Mbona Chadema walipowakilisha waraka wao hatukuona mtu akisema ni Ukristu... jamani mtajifunza lini kuwa wastaarabu..
 
Ccm wakitaaka kitu chochote kipite bungen kinapita kutokana na idadi yao kubwa.hapo ndo utaona ukomavu wa cuf katika siasa na wanaponufaika na mchakato mzima wa katiba tofaut na cdm wanapaswa waangalie mazingira yakoje ili kwenda nao sawa la sivyo wataambulia patupu
 
Moderator please ondoa ujinga na ushenzi huu wote maana hapa tunajadili waraka wa CUF na hivyo mnapoanza kuzungumzia Uislaam vs Wakristu inaonyesha wazi kwamba chuki zenu hazina kipimo hata kidogo. Mbona Chadema walipowakilisha waraka wao hatukuona mtu akisema ni Ukristu... jamani mtajifunza lini kuwa wastaarabu..

Hao ndio chadema na uislam na waislam..nakushangaa unapokuwa sehemu ya kikundi hiki cha chadema lol..
 
Uzushi leta source siyo una bwabwaja bila source?? (sema keyboard) kilaza mkubwa wee

Narudia tena; kawaulize wazee wa intelijensia, acha kelele zako mdini mkubwa wee! IGP Mstaafu Omar Mahita anazo taarifa zenu vizuri sana ambazo mpaka leo hamjaweza kuzikanusha. Mtafute atakupa taarifa kamili. Acheni kutuletea miajenda yenu ya hila bana!
 
mfuateni Sheikh-twain wa migomigo huko aliko mkaunde jamhuri yenu ya wapenda ubwabwa na wafuga midevu, Tanzania hamtaitawala!

Jamani, muacheni sheikh ubwabwa Topical alale awahi swala ya alfajiri maana ya jioni mmemkosesha, kafura tu kwenye keyboard...! Simple logic..katika watu saba, mmoja tu ndiyo mkristo (mwenye sigda..hahaha)..uwiano wa ajabu kabisa. U canot deny!. Anyway, ijapokuwa hatuoni km wana hoja, tuwaache wanoona wanayo wajadili kwa hiii thread, tusijaze server za kuchafuana na watu ambao walishachafuka..mwisho wa siku na cc tutachafuka buree!
 
Hao ndio chadema na uislam na waislam..nakushangaa unapokuwa sehemu ya kikundi hiki cha chadema lol..
Mkuu wangu wala usinishangae kwa sababu Uislaam sio watu bali ni DINI.. Vivyo hivyo Itikadi ya chama sio mapenzi ya watu waliopo isipokuwa Dira yake na itikadi hivyo unasimama na wale wenye mtazamo sawa na wewe hivyo ndani ya Chadema wapo wachawi, wanafiki, Mafisadi, wakristu na waislaam sawa na unavyoukuta mchanganyiko ktk sehemu yoyote ya kijamiii..

Kizuri ni kwamba mimi Muslaam na nilichofundishwa ni kufuata msahafu na sii watu, tofauti na wao waliofundishwa kwamba MTU na watu ndio huifanya dini kuwa ya kweli ama sii ya kweli... Hivyo nipo Chadema kwa sababu malengo yake na ari iliyopo ndio yenye uthubutu kuliko vyama vinginevyo.

Sikuwa CUF sii kwa sababu ya dhana ya wao kuwa ni Waislaam, isipokuwa CUF imejikita zaidi ktk maslahi ya WaZanzibar ambao majority ya wananchi wake ni Waislaam... Naelewa hili vizuri bila mushkheri wala kuchangawa madawa.. Wakristu wengi wanashindwa kutofautisha tamaduni za watu, mila na desturi zao kuwa hazihusiani na DINI kwa maana dini kwao ni WATU na mafundisho yao..
- Nilikuwepo na nadhani umenielewa, tuendelee na mada hii.
 
Jamani, muacheni sheikh ubwabwa Topical alale awahi swala ya alfajiri maana ya jioni mmemkosesha, kafura tu kwenye keyboard...! Simple logic..katika watu saba, mmoja tu ndiyo mkristo (mwenye sigda..hahaha)..uwiano wa ajabu kabisa. U canot deny!. Anyway, ijapokuwa hatuoni km wana hoja, tuwaache wanoona wanayo wajadili kwa hiii thread, tusijaze server za kuchafuana na watu ambao walishachafuka..mwisho wa siku na cc tutachafuka buree!

Ha ha ha ha ha! Tukiwaambia wanaleta ubishi usio na maana. The obvious need no proof!
 
wabilali tawafiq,...
kumbe yale mabasi yalokufa ya tawafiq yalikuwaga ya CUF?
 
Mapendekezo yote hayo yakifanyiwa kazi basi Mchakato wa katiba mpya utatuletea katiba tunayoitaka.EXCELLENT CUF.Endeleeni kututea watanzania.
Kwani haya waliyajua lini? Mbona wakati wa kupitisha walikuwa wanashangilia tu haya mapendekezo mbona hawakuyatoa?
 
Mkuu wangu wala usinishangae kwa sababu Uislaam sio watu bali ni DINI.. Vivyo hivyo Itikadi ya chama sio mapenzi ya watu waliopo isipokuwa Dira yake na itikadi hivyo unasimama na wale wenye mtazamo sawa na wewe hivyo ndani ya Chadema wapo wachawi, wanafiki, Mafisadi, wakristu na waislaam sawa na unavyoukuta mchanganyiko ktk sehemu yoyote ya kijamiii..

Kizuri ni kwamba mimi Muslaam na nilichofundishwa ni kufuata msahafu na sii watu, tofauti na wao waliofundishwa kwamba MTU na watu ndio huifanya dini kuwa ya kweli ama sii ya kweli... Hivyo nipo Chadema kwa sababu malengo yake na ari iliyopo ndio yenye uthubutu kuliko vyama vinginevyo.

Sikuwa CUF sii kwa sababu ya dhana ya wao kuwa ni Waislaam, isipokuwa CUF imekitita zaidi ktk maslahi ya Zanzibar ambako majority ya wananchi wake ni Waislaam. Wakristu wengi wanashindwa kutofautisha tamaduni za watu, mila na desturi zao kuwa hazihusiani na DINBI kwa maana dini kwao ni WATU na mafundisho yao..
- Nilikuwepo na nadhani umenielewa, tuendelee na mada hii.

You will never grow kwenye chama chenye mtazamo hasi kwa kila muislam na uislam..

Unachoweza kufanya ni kujipendekeza tena kwa kuondoa thamani yako na uislamu wako ili ufanane nao..otherwise they will judge you kutokana na dini yako na siyo mchango wako kwenye taifa na chama..

Nakusikitikia tu kwamba kuna muislam anajihusisha nacho atakuwa na moyo wa chuma, wasipobadili kuchukua nchi ni ndoto trust me..
 
@mkandara

Nafikiri maoni yao yakipelekwa bungeni tena (wakati wa marekebisho) yataboresha sheria hii..

Plus yale mapendekezo ya chadema..

wakati huo labda sisi watanzania tutapata mjadala mzuri tulioukosa baada ya chadema kuchafua hali hewa..

Mimi naona CUF wako very "Constructive" wameacha mambo ya kutaka kuvunja muungano etc..

Actually wanafanya siasa za kistaarabu sana kwa sasa..big up..
Mkuu CUF wamekuwa constructive kwa sababu wamejumuisha na mawazo ya watu mengine yakiwa yale tuloyazungumza hapa, lakini yote kwa pamoja inaonyesha wazi kwamba hapa tuna Upinzani wa kisiasa zaidi ya kuitafuta katiba Mpya. Sioni sababu ya wao kwenda Ikulu ikiwa mapendekezo haya yangeweza kuwakilishwa kwa njia ambazo rais amezungumza maana tunachorekebisha sasa hivi ni SHERIA sio muswada tena.. Mimi nilitegemea labda walikwenda Ikulu kupinga muswada ule kuwa sheria maana wamekwenda wakilisha mawazo pinzani na muswada kutokana na kwamba hata wao walizidiwa Bungeni. lakini sii kwa kutaka kurekebisha Sheria..Hii ndio hatua tuliyopo sasa na maaadam waliikubali sheria hiyo kupita hakuna sababu ya kwenda Ikulu tena kwani sii jukumu wala kazi ya rais kufanya marekebisho ya sheria..

Chadema walikuwa na sababu ya kwenda Ikulu (kupinga muswada ule) ingawa hawakuwakilisha zaidi nafasi ya wananchi na vyama vingine isipokuwa mapendekezo yao yalilenga Kisiasa zaidi, lakini nao wakapigwa chini na mwisho wakakubali matokeo, jambo ambalo limenishangaza ni pale waliposema hawatafanya maandamano hadi marekebisho ndani ya sheria yafuatwe, kitu ambacho wao wanajua hakiwezekani na hakitawezekana isipokuwa kwa kuanza vizuri... Ikumbukwe tu kwamba nguvu kubwa ya maamuzi ya uundaji Katiba unatoka kwa wananchi na hata kama wananchi wengi wasingependelkea kuundwa kwa katiba Mpya, kutokubaliana na muswada - BUNGE la KATIBA lingekuwa na maamuzi ya mwisho kuingia hatua hii tuliyopo leo.

Hivyo, tulipo sasa hivi inatakiwa kuundwa BUNGE la KATIBA kwanza kabla ya TUME ya KATIBA ambalo mwenyekiti wake atakuwa rais wetu na vyama vitapewa nafasi katika Uwakilishi wake. Yale mapendekezo ya Chadema ktk nafasi walizoomba za kuchaguzi wa tume ndsizo zitumike katika Uchaguzi wa Bunge la Katiba badala ya Tume ya Katiba maana CDM wamehusisha vyama na asasi zote za kijamii. Hili baraza la bunge la Katiba ndilo litachugua Tume kwa kufuata vigezo vya rais alivyovitoa ktk muswada na sasa hivi sheria...Hiyo tume itakuwa huru chini ya katibu wake ambaye pia atachaguliwa na tume hiyo, kisha tume itamchagua mwenyekiti wao kulingana na majukumu watakayo peana..Hivyo sisi wananchi tutakapo wasilisha maoni yetu (kuhusiana na Katiba sio tena sheria hii) tutajua tunayapeleka kwa mwakilishi gani na katika maswala gani...

Kwa hiyo tume itakapo kabidhi kazi yake kwa Bunge la Katiba, kila mjumbe wa baraza hili atawakilisha sehemu yake atatazama maswala yanayoishu sehemu yake ktk mjadala utakaofanyika kabla ya kupitisha kifungu hicho, kisha wajumbe watakusanya kazi zao na kuunda Katiba - Tumemaliza.

Tukiendekeza maswala haya ya kila mtu apeleke mawazo yake kuhusiana na sheria iliyopo nadhani ni kupoteza muda kwa sababu hatutaweza kufikia maamuzi ya pamoja na wala hatutaweza kubaliana isipokuwa yale mawazo muhimu kuhusiana na katiba yenyewe ndio yazingatiwe zaidi. Nina hakika kama kesho asasi za kijamii nao wakianza kwenda Ikulu itakuwa hujui uchukue la nani na nani mwenye kuitakia mema katiba yetu. Up to this point, sioni mwanzo mzuri isipokuwa tunaweza jirekebisha na kuunda baraza la katiba mablo litajumuisha pande zote muhimu za kijamii iwe Siasa, Uchumi, Mazingira, Usalama, Mambo ya nje, Haki za binadamu na kadhalika kwa lengo la kupata Katiba Bora inayolingana na sisi wenyewe ktk mazingira haya kuelekea Umoja na Maendeleo ya Jamii yetu.
 
You will never grow kwenye chama chenye mtazamo hasi kwa kila muislam na uislam..

Unachoweza kufanya ni kujipendekeza tena kwa kuondoa thamani yako na uislamu wako ili ufanane nao..otherwise they will judge you kutokana na dini yako na siyo mchango wako kwenye taifa na chama..

Nakusikitikia tu kwamba kuna muislam anajihusisha nacho atakuwa na moyo wa chuma, wasipobadili kuchukua nchi ni ndoto trust me..
Uislaam ulipokuja Afrika tulikuwa na mtazamo dhati au Hasi? na imekuwaje watu kama wewe na mimi tumekuja kuwa Waislaam wakati 100% ya waafrika hatukuwa na Uislaam.
Mkuu dini ni ELIMU ya Uungu wala sii watu, na Chadema hata wakiwa wote wakristu bado nitakwenda nao sambamba kwa sababu wao watendelea kuamini wanachoamini nami nitaamini nachoamini hata kama nawashangaa kwa nini wanaamini Yesu ni Mungu. Hii ni imani yao na nitaiheshimu japokuwa sikubaliani nayo na kwa kuamini hivyo hakuwafanyi wao wajinga zaidi kwa sababu sisi sote tunazifuata dini hizi ili kuboresha Ubinadamu wetu. Zaidi ya yote haya kama nisipokuwa nao watawezaje kuujua Uislaam kama ni dini na sii watu?..
 
You will never grow kwenye chama chenye mtazamo hasi kwa kila muislam na uislam..

Unachoweza kufanya ni kujipendekeza tena kwa kuondoa thamani yako na uislamu wako ili ufanane nao..otherwise they will judge you kutokana na dini yako na siyo mchango wako kwenye taifa na chama..

Nakusikitikia tu kwamba kuna muislam anajihusisha nacho atakuwa na moyo wa chuma, wasipobadili kuchukua nchi ni ndoto trust me..

CUF ndio ina mtazamo chanya kwa imani zingine? Katika viongozi wa juu saba walioenda Ikulu, sita wote ni waislamu na mmoja sie ila ana bonge la sigda! Pole sana. Nakushauri unapohukumu jipime kwanza mwenyewe kwa makini ndipo utoe hukumu.

Naachana na upuuzi huu, na-log-off.
 
Uislaam ulipokuja Afrika tulikuwa na mtazamo dhati au Hasi? na imekuwaje watu kama wewe na mimi tumekuja kuwa Waislaam wakati 100% ya waafrika hatukuwa na Uislaam.
Mkuu dini ni ELIMU ya Uungu wala sii watu, na Chadema hata wakiwa wote wakristu bado nitakwenda nao sambamba kwa sababu wao watendelea kuamini wanachoamini nami nitaamini nachoamini hata kama nawashangaa kwa nini wanaamini Yesu ni Mungu. Hii ni imani yao na nitaiheshimu japokuwa sikubaliani nayo na kwa kuamini hivyo hakuwafanyi wao wajinga zaidi kwa sababu sisi sote tunazifuata dini hizi ili kuboresha Ubinadamu wetu. Zaidi ya yote haya kama nisipokuwa nao watawezaje kuujua Uislaam kama ni dini na sii watu?..

Wewe labda ubaki tu mbeba faili (msaidizi) wa kina slaa na mbowe kwasababu hawawezi wakakupa nafasi hata ufanyaje kwakuwa ni muislam na kwasababu wana mtazamo hasi kwa waislamu na uislam then usitegemee utakuwa mkubwa huko chadema na ukabeba chadema flag (si kwasababu huna uwezo kwasababu unavuga ndevu na unavaa kiislam) labda uanze kunywa pombe kama wao....hiyo ndio grow nayoisema mimi siyo ya kwenda msikitini ..lol
 
Sitashangaa kwenye ilani ya CUF mwaka 2015 wakitoa ahadi kuwa wakishika nchi kila mwenyekiti wa kijiji lazima awe Sheikh

Zero thinking capacity..unafikiri CUF ni chadema lazima Mchungaji Natse, Mchungaji Mtasigwa, Padre Slaa...etc na wanachama kutoka seminari za kikatoliki..

Mnataka kuibatiza Tanzania..lol
 
Wewe labda ubaki tu mbeba faili (msaidizi) wa kina slaa na mbowe kwasababu hawawezi wakakupa nafasi hata ufanyaje kwakuwa ni muislam na kwasababu wana mtazamo hasi kwa waislamu na uislam then usitegemee utakuwa mkubwa huko chadema na ukabeba chadema flag (si kwasababu huna uwezo kwasababu unavuga ndevu na unavaa kiislam) labda uanze kunywa pombe kama wao....hiyo ndio grow nayoisema mimi siyo ya kwenda msikitini ..lol
Mkuu siwafuati Chadema kwa sababu ya kimaslahi wala kufikiria kupewa nafasi ya uongozi pale.. Laa hasha na hata kama wakinipa sintokubali kwa sababu mtazamo wangu kiitikadi ni tofauti na Chadema ingawa nawakubali kwa dhati wanachopigania. Madai kaa yako nimeyasikia sana hasa nilipokuwa Bongo, vijana wengi walifiiria natafuta kazi au madaraka kwa sababu kwao wao uongozi ni KULA..

Sii wapiganaji wote huenda msituni mkuu wangu mimi nipo Chadema kwa sababu chama hiki kina uhtubutu wa kupigania japo machache tunayoyataka, lakini sina nia wala haja ya kuwa kiongozi..Nitaendelea kuwapa mkono hadi siku watakapo pindisha maazimio..Kama alivyosema Nyerere CCM sio mama yake! ndivyo navyovitazama vyama vya kisiasa nchini - CCM mkuu wangu utanisamehe, dhulma walokwisha ifanya kwa wananchi ,Uislaam unatukataza wala kukurubia na chama kama hiki hivyo narudia tena Uislaam sio WATU bali ni dini..
 
Mkuu siwafuati Chadema kwa sababu ya kimaslahi wala kufikiria kupewa nafasi ya uongozi pale.. Laa hasha na hata kama wakinipa sintokubali kwa sababu mtazamo wangu kiitikadi ni tofauti na Chadema ingawa nawakubali kwa dhati wanachopigania.

Sii wapiganaji wote huenda msituni mkuu wangu mimi nipo Chadema kwa sababu chama hiki kina uhtubutu wa kupigania japo machache tunayoyataka, lakini sina nia wala haja ya kuwa kiongozi..Nitaendelea kuwapa mkono hadi siku watakapo pindisha maazimio..Kama alivyosema Nyerere CCM sio mama yake! ndivyo navyovitazama vyama vya kisiasa nchini - CCM mkuu wangu utanisamehe, dhulma walokwisha ifanya kwa wananchi ,Uislaam unatukataza wala kukurubia na chama kama hiki hivyo narudia tena Uislaam sio WATU bali ni dini..

Mmm!

Inathubutu nini? kuwakejeli waislamu na uislamu?

Hata kama hutaki wewe binafsi kuwa kiongozi je waislamu wengine hawataki kuwa viongozi huko vipi haki zao zinapokejewi kisa ni waislamu na uwezo wa kutopewa nafasi..

Kwako wewe kama muislam mwingine au uislamu unakejelewi ni sawa as long as siyo wewe sikuelewi..hapo..lol
 
Mbona hamjasema kuwa kuhusu serikali ya Tanganyika. au kwa manenoi mengi mambo yasiyo ya muungano basi wanzabari watuachee wenyewe watanganyika tujadili na tuuingize kwenye rasimu ya katiba. ina maana Mtatiro hilo hujaliona au ndo nguvu ya Pemba unga umezidi maji.
 
Back
Top Bottom