tembeleh2
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 765
- 165
Kuna miswaada ya sheria miwili 1)muswaada wa sheria ya taasisi za utafiti ya mwaka 2011 na 2)Muswaada wa sheria ya hifadhi ya jamii ya mwaka 2011. miswaada hii inatarajiwa kujadiliwa kwenye bunge la april. Taarifa hii imetolewa kwenye blog ya michuzi kwa ajili ya vyombo vya habari ikiwahimiza wananchi na wadau wote kwa ujumla washiriki kuboresha miswaada hii. Taarifa hii haijaeleza wananchi wanatakiwa washirikije?. Wana JF ni kweli watu hawa wako makini na swala hili? ni kweli wanahitaji michango ya wananchi na wadau wengine?