rwamashugi
Member
- Dec 5, 2011
- 48
- 2
Wananchi wa wilaya ya Muheza Tanga wameiomba Tume ya Warioba kuwa,Wabunge WANAOSINZIA BUNGENI wapewe adhabu zifuatazo:- Kuchapwa viboko 3
- Kumwagiwa maji ya baridi
- Kufukuzwa Bungeni muda wa siku 3
Hiyo hoja mimi ninaiunga mkono asilimia 100.
Je wana janvi mna maoni gani?
SOURCE:Gazeti Mwananchi Tarehe 15 july 2012: Page 7.
- Kumwagiwa maji ya baridi
- Kufukuzwa Bungeni muda wa siku 3
Hiyo hoja mimi ninaiunga mkono asilimia 100.
Je wana janvi mna maoni gani?
SOURCE:Gazeti Mwananchi Tarehe 15 july 2012: Page 7.