Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
1) Ningetumia chaguzi hizi za ndani ya CCM kusafisha wala/watoa rushwa. Viongozi wote wa serikali wanatokana na CCM, nidhamu ya juu ndani ya chama, mkondo ungetiririka kwa urahisi serikalini.
2)Liwalo liwe, wote wenye hatia ya kutoa/kupokea rushwa wangeenda jela. Ningejenga utawala wa sheria kwa next Rais
3)Otherwise; Ningejitokeza hadharani kutetea mtandao na kumweka mtu kama nilivyowekwa. Muda unakimbia huku JK akiwa amechanganyikiwa hajui cha kufanya, kila kitu kipo out of control
4)Uamsho, Ponda na CDM sio wanaosababisha nchi isitawalike, Makundi ndani ya CCM ndio yanayosababisha both chama na serikali yake visitawalike. I would Control CCM first, every thing else will fall into basket.
5)Ningehakikisha Katiba mpya kwa manufaa ya watanzania, CCM imeshindikana therefore I'll careless about it(CCM) na kuhakikisha 2015 uchaguzi unakuwa huru
6) Kama haya yote yangenishinda? ningeitisha uchaguzi wa ghafla na kutokomea
2)Liwalo liwe, wote wenye hatia ya kutoa/kupokea rushwa wangeenda jela. Ningejenga utawala wa sheria kwa next Rais
3)Otherwise; Ningejitokeza hadharani kutetea mtandao na kumweka mtu kama nilivyowekwa. Muda unakimbia huku JK akiwa amechanganyikiwa hajui cha kufanya, kila kitu kipo out of control
4)Uamsho, Ponda na CDM sio wanaosababisha nchi isitawalike, Makundi ndani ya CCM ndio yanayosababisha both chama na serikali yake visitawalike. I would Control CCM first, every thing else will fall into basket.
5)Ningehakikisha Katiba mpya kwa manufaa ya watanzania, CCM imeshindikana therefore I'll careless about it(CCM) na kuhakikisha 2015 uchaguzi unakuwa huru
6) Kama haya yote yangenishinda? ningeitisha uchaguzi wa ghafla na kutokomea