Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

Bora wazee zama zao zimepita wakisubiri kufa maana wengi wanaishi kwa msaada wa vidonge tatizo ni hawa vijana kutwa kuzungumzia mpira. . Leo utawaona wamejaa airport kuipokea yanga. Kama vile wanapata hata senti 5
 
Vijana wa visiwani Zanzibar ni balaa zaidi maana huwaza kupata wazungu/ waarabu wa kuwasaidia ikiwemo kulazimisha ndoa
 
Wanafiziolojolia wanasema kuna makundi matatu ya aina za binadamu
1:great thinkers, hawa hupenda kujadili ideas mpya hawa wapo (intellectual) yaani wanapenda sana kufikiri na kutatua matatizo hasahasa ya kisayansi na hawa ndio wanasayansi wa baadae
2:kundi la pili hawa ni watu wa events yaani hawa wao ni kujadili matukio tu mwanzo mwisho hakuna kinachohusu mpira asikijue mtu wa aina hii kila tukio kwake ni fyraha kulijadili pasipo kujali kama lina faida au la.
3:kundi la tatu hawa wao ni kujadili maisha watu kila kukicha hawa huwa hawaangalii maisha wanayoishi wao ila ya wengine wajiyakosa kuyajadili siku kwao inakua kama haijapita vile mifano mizuri ni wale wanaounda makundi kwenye mitandao ya kijamii kama vile #team simba eti wanashabikia diamond na mtu yeyote atakayemponda diamond wao ndio watakao mshughulikia,dahh yaani mtu anaacha kuangalia mustakabali wa maisha yake anaanze kujadili maishi ya mwenzake tena unamshabikia kabisa si vibaya kuwa na mwanamuziki umpendaye ila kuna mipaka inavukwa hadi mnageuka kero. NADHANI HAYA MAKUNDI MAWILI YANAISUMBUA SANA TANZANIA. TUBADILIKE TWAWEZA (TOGETHER WE CAN)
Real correct, watu wameanza kutupia mpira mfumo wa elimu. Hivi kama uliridhika na mfumo wa uongozi katika nchi yako ya nini kusema mfumo wa elimu ndio chanzo cha hili tatizo. Pia tunasahau na malezi ya familia zetu.
Na hapa ndio tatizo linapoanzia.
 
Vijana wengi wa kitanzania (Sehemu za miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya) 96% ya maongezi yao ni pumba tupu na vitu visivyowasadia katika kujikwamua kimaisha ikiwemo mpira wa ulaya (FA, EPL, UEFA n.k.), Wasanii wa bongo na skendo zao, namna mheshimiwa anavotumbua majipu. Ni ngumu kumkuta kijana wa miaka 18 - 35 akiongea vitu vya maana vya kujenga uchumi (binafsi, jamii na taifa) kwa muda unaozidi dakika 5 mfululizo bila kuchomeka Tusi.

Hivi interview/kazi huwa mnapataje aisee? na bomba la mafuta tumeambiwa linapita Tanzania kweli namna hii mtapata kazi kweli? au ndo watajaa wa kenya kama kawaida? (Mfano STRABAG, Nakumatt?)

NB: Fuatilia kwa wauza magazeti, vijana wengi hununua magazeti ya michezo, udaku n.k. na kuacha magazeti yenye fursa na habari za maana kwa mustakabali wa nchi. Sad!
Napata wasiwasi na uzito wa tafiti yako in regards on what variables you have used but getting 96% I find it hard maana najiuliza what statistical test umetumia kupata result hizi..
Hapa inanipa shida kufahamu vijana nyie watanzania ambao mnakurupuka kupata majibu bila scientific prova ila kwa kusikia au direct observation ambayo sio reliable halafu unaleta mada nyepesi zenye "results" ngumu kea wasoni kuanalyse...
Anyways,hata hii post yako naiona ni jinsi gani mtoa mada na wewe ni sehemu ya hao uliowazungumzia maana hauna reasonable facts which are justifiable before the academicians to accept lakini hii ingekua ni kama hypothesis ila sio conclusion.
Asante ndugu
 
Vijana wengi wa kitanzania (Sehemu za miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya) 96% ya maongezi yao ni pumba tupu na vitu visivyowasadia katika kujikwamua kimaisha ikiwemo mpira wa ulaya (FA, EPL, UEFA n.k.), Wasanii wa bongo na skendo zao, namna mheshimiwa anavotumbua majipu. Ni ngumu kumkuta kijana wa miaka 18 - 35 akiongea vitu vya maana vya kujenga uchumi (binafsi, jamii na taifa) kwa muda unaozidi dakika 5 mfululizo bila kuchomeka Tusi.

Hivi interview/kazi huwa mnapataje aisee? na bomba la mafuta tumeambiwa linapita Tanzania kweli namna hii mtapata kazi kweli? au ndo watajaa wa kenya kama kawaida? (Mfano STRABAG, Nakumatt?)

NB: Fuatilia kwa wauza magazeti, vijana wengi hununua magazeti ya michezo, udaku n.k. na kuacha magazeti yenye fursa na habari za maana kwa mustakabali wa nchi. Sad!
Sio vijana tu hata wazee. Ukitaka maongezi yanoge mpira!!!!???? baada ya mpira kinachofuatia ni mziki!!!!
Hawaongei mambo ya biashara, kilimo bora, siasa zetu, elimu nk. Upuuzi mtupu.
 
hasa mpira wa ulaya! ukitaka kuthibitisha nenda wakute wanabishania mpira wa ulaya, halafu waambie mnabishania watu hata hawawajui... utaonekana mshamba wa mwisho halafu na matusi utapata
kuna watu die hard fans wa utd na aseno nk..huwaambii kitu, na hawafaidiki na chochote kutoka utd au aseno
 
ndio kizazi cha sasa....mimi nik in late 20's kwa kweli huwa naobserve sana...vijanawengi wajinga wa kike kwa wa kiume...full kupost kajilza kitandani eti my wangu af mada hazina maana...ukiwa mu wa kupost vitukama business ssues educative issues huoni support....wajinga ndio waliwao....achawaigize maisha.......ni mtazamo tu...mi nikiwa na stress nac hat pumba pia ili kurelax tu ila niko makini aise...Sipo kundi la wajinga kuliwa. MTAZAMO TU
 
Ukiingia instagram unamkuta mtu kapiga picha kwenye Noah anadai yeye ni TOP CELEBRITY East & Central Africa. Really?
 
Nyinyi wazee wa zamani ndo mmetufikisha pabaya nchi hii.. Nchi imejaa ufisadi, nchi imejaa wala rushwa na wote mmesababisha nyiny wazee wa zamani.
Mnalalamika hatujiajiri wakati maofisi ya serikali yote mmejaa nyiny wazee, nyiny mbona hamjiajiri?
Mnasema sisi wavivu hatufany kazi si mlitulea nyiny wenyew, ina maaana mlitulea vibaya hapo awali.
Muache kutulaumu maisha yenyew mafupi haya kila mtu aishi anavyotaka
Ngoja nika bet kwanza mnanipotzea mda tu humu..
 
Ha ha ha haa!Natoa kicheko chenye hasira ndani yake.
Inasikitisha kuona wazee tukikaa vikao hadi humu mitandaoni kukandia na kulaumu tatizo tulilosababisha sisi wenyewe.
Hawa vijana hawajashuka toka mbinguni,tumewazaa sisi wenyewe,tunawalea sisi wenyewe,matendo yao ni matunda ya malezi yetu individually and collectivelly.
Hivyo kabla ya kuwasema humu,tukae vikao sie wenyewe na kujiuliza tumeteleza wapi,na kwa kuanzia tuu niulize,ni wangapi humu wanaspend at least 3 hours a day wakiwa na vijana wao kuwaelekeza mambo mbalimbali katika maisha.Msilalamike hawataki kukaa nanyi,mliwajenga kukaa nao karibu tangu utotoni,mmewajenga wawapende na kuona thamani yenu kwenye maisha yao?
Samaki mkunje......
 
ukitaka kujua pumba za vijana zunguka vijiweni sikiliza redio za FM na tizama TV (ITV - Kipima joto). Halafu eti Tanzania ya Viwanda daah!
 
Vijana wengi wa kitanzania (Sehemu za miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya) 96% ya maongezi yao ni pumba tupu na vitu visivyowasadia katika kujikwamua kimaisha ikiwemo mpira wa ulaya (FA, EPL, UEFA n.k.), Wasanii wa bongo na skendo zao, namna mheshimiwa anavotumbua majipu. Ni ngumu kumkuta kijana wa miaka 18 - 35 akiongea vitu vya maana vya kujenga uchumi (binafsi, jamii na taifa) kwa muda unaozidi dakika 5 mfululizo bila kuchomeka Tusi.

Hivi interview/kazi huwa mnapataje aisee? na bomba la mafuta tumeambiwa linapita Tanzania kweli namna hii mtapata kazi kweli? au ndo watajaa wa kenya kama kawaida? (Mfano STRABAG, Nakumatt?)

NB: Fuatilia kwa wauza magazeti, vijana wengi hununua magazeti ya michezo, udaku n.k. na kuacha magazeti yenye fursa na habari za maana kwa mustakabali wa nchi. Sad!
Niliiona Hii thread siku nyingi nikajipa muda nianze kufikiria kwanza.Mtazamo na fikra zangu unàangalia vitu vitatu vikubwa. Cha kwanza ni ukosefu wa elimu..elimu bora na Cha pili ni huduma duni za afya na Cha tatu ni umaskini. Kila kimoja naona kinamchango mkubwa wa kuzaa watoto mbumbu au watoto hamnazo. Mfano mama mjamzito akiwa katika hatua za kujifungua "true labor " vilevile akawa hana nguvu za ku'push.'si ajabu akakosa msaada wa mkunga mapema hata kama yupo kituo cha Afya na kujikuta anazaa 'under score ' baby...mtoto aliyechoka ambaye hataweza kupata oxygen mapema ambayo ni ya msingi kwa maendeleo ya ukuaji wa mtoto kiakili. Hii inaweza kusababishwa na uchache wa watumishi na pia ukosefu wa maadili uliosababishwa na sababu kama Hii.
Umaskini.Lishe duni, ukosefu wa elimu tegemea maongezi ni pumba tu.Bila elimu na Afya njema taifa litaendelea kutaabika na vijana mizigo. Graduates lakini mbwembwe ndo zitakuwa nyingi.
 
Back
Top Bottom