Maombi ya ualimu vyuo vya serikali yafunguliwa rasmi mwisho 28.06.2013

Brother James

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
233
172
Hii ni taarifa Kwa wale ndg zangu wooote waliokuwa wakisubiri fursa za kuomba nafasi za mafunzo ya Ualimu Kwa ngazi ya A-Stashahada (Certificate) na Shahada (Diploma) hususani katika vyuo vya Ualimu vya Serikali (34) kuwa rasmi katibu Mkuu Wizara ya Elimu anakaribisha waombaji woote waliomaliza Shule O/A Level kuanzia mwaka 2008 hadi 2013 kuomba mafunzo hayo. Zaidi fungua link hapo chini:
United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training
 
Ahsante kwa taarifa maana ushindi wa vijana wetu siyo mzuri hivyo kimbilio ni UALIMU.
 
Mkuu marekebisho.,ni ualimu ngazi ya cheti (certificate) au Grd 'A' kama inavyozoeleka na ualimu ngazi stashahada (diploma) . Shahada ni ngazi ya degree ambayo hutolewa na vyuo vikuu na siyo vyuo vya ualimu.
 
Naombenikuuliza na mimi kama amemaliza form 4 2007 anaweza kupata nafasi wakuu.
 
Sifa za kujiunga na Stashahada(Diploma) ni matokeo ya kidato cha sita (Minimal) E moja na S moja ktk combination yako
Sifa za kujiunga na Cheti (Certificate-Grade A) ni matokeo ya kidato cha nne (Minimal) point 27.
Deadline ya application ni:28.06.2013

SIFA: uwe umemaliza kidato cha sita/nne kuanzia mwaka 2008 - 2013 tu
Application fee: BURE
HII NI FURSA KWENYE VYUO VYA UALIMU VYA SERIKALI TU

NB: Usijedanganyika kuomba vyuo vya private wakisema cutt-points zao ni chini ya hizo nilizokueleza, watakuwa wanataka kukuibia tu and then wakuache solemba unalia mtaani. Vyuo vyote vya Ualimu Vya Serikali na Private cutt-points zao zinafanana isipokuwa Private college wanachukua waombaji hata walio maliza kidato cha sita kuanzia mwaka 2003.
 
Naenda kuwaambia wadogo wa-apply faster coz hii ni fursa yao coz wanasifa za kuombea
Sifa za kujiunga na Stashahada(Diploma) ni matokeo ya kidato cha sita (Minimal) E moja na S moja ktk combination yako
Sifa za kujiunga na Cheti (Certificate-Grade A) ni matokeo ya kidato cha nne (Minimal) point 27.
Deadline ya application ni:28.06.2013

SIFA: uwe umemaliza kidato cha sita/nne kuanzia mwaka 2008 - 2013 tu
Application fee: BURE
HII NI FURSA KWENYE VYUO VYA UALIMU VYA SERIKALI TU

NB: Usijedanganyika kuomba vyuo vya private wakisema cutt-points zao ni chini ya hizo nilizokueleza, watakuwa wanataka kukuibia tu and then wakuache solemba unalia mtaani. Vyuo vyote vya Ualimu Vya Serikali na Private cutt-points zao zinafanana isipokuwa Private college wanachukua waombaji hata walio maliza kidato cha sita kuanzia mwaka 2003.
 
Back
Top Bottom