Maombi ya kazi yoyote .

Next Level nina imani nilikupa feed back na hata kama hukuipata angalia kwenye ile thread niliandika kuwa nimempata na kuwashukuru wote.Niwie radhi usinitumbukize huko unakonisukumia.Na kama kweli hukupata huo ujumbe niwie radhi mkuu.
Pia nawaomba nilio wajibu mnitetee kwa Next Level ili anitoe huko anakonipeleka.
Ok mkuu nimekupata....sorry kwa kukwambia ''you are not serious''....nimeona feedback yako....hii hapa!

Wadau nawashukuru wote waliojitokeza. Nimewapata watu 2.
Nimewalipa zaidi ya tulizotangaza kwa sababu wameonyesha utashi wa kazi na la ajabu mmoja wao ni Accountant haswa na ANA KITAMBI-aaaahaaaaaa!
La kusikitisha waliokuwa wanaponda hapa huku wananitumia PM,waswahili viboko kweli kweli. Ila nawashukuru ma Professional Accountant na wenye ujuzi walionielimisha.
Asante Belo,Lole,Bill,The farmer na wengine wote.Tutaendelea kumsaidia Mh.JK kuongeza ajira-hivyo hivyo kwa ugumu,tutagawana kilichopo.
Lakini mkuu PM yangu hukujibu kabisaaaa! Lile lilikuwa dili bomba kabisa....nilikuwa nakuletea kijana ambaye ni multipurpose!
 
cku nyingine usiseme kazi yoyote kama ni mhitimu.Kazi yoyote ni neno pana saana ambalo cyo zuri saana kutumika kama ulivyolitumia.Specify,may be we can help who nws
 
Ingesaidia sana kama ungemwacha huyo job seeker ajitangaze hapa mwenyewe. Itaonyesha prospective employers kwamba 1) ni proactive 2) computer savvy 3) ana initiative 4) anajua kuuza ujuzi wowote alionao

Wewe kumuuza huwezi. Anatafuta kazi kwa "sababu ya ugumu wa maisha," hivyo naturally yeye asingependa kazi? Binti huyo anamwambia muajiri nimepigwa na jua ndio nimeamua kutafuta kazi. Ukipata bwana mwenye pesa hapo ofisini utaacha kazi, au? Anatafuta kazi yeyote ya ofisini, kazi gani ya ofisini, kupika chai? Matokeo yake ndio anajibiwa akapike chai kwa kina Mama hapo juu wanaotangaza vacancy za domestic slavery:



Basi anzisha thread nyingine, alright Mama?

Unless una home office. Fungua thread nyingine utangaza home office ya kulea watoto, na kufanyisha home work za watoto, na ku act kama Mama ya nyumbani "kwani muda mrefu Mama hayuko nyumbani."

Utangaze hiyo kazi ya ambae "hajaolewa." Maana unajiita Mama, nadhani una watoto, ila wewe watoto wako umewapa kwa artificial insemination, hukuolewa. Ndio maana mfanyakazi wako, mwanamke mwenzako pia hutaki aolewe. Una wasiwasi kwamba hata akiwa kazini muda wote anaotakiwa, atakuwa bado anawaza mumewe, atakuletea matatizo ya ndoa, ndio maana pilipili ya shamba, mambo ya nyumbani kwake, yanakuhusu mwajiri.

Ueleze vizuri hiyo kazi ambayo unampa siku 28 za livu lakini unataka alalie, aamkie hapo hapo kazini. Ukimaliza kutuhesabia likizo tuhesabie pia masaa ya kazi. Kwa siku. Umehesabu time off, tuambie na time on.

Au, uweke wazi kwamba anafanya kazi from can't see in the morning to can't see at night. Kwamba ni domestic slavery, woman on woman subjugation. Maana hata wewe mwajiri wako akikwambia kuanzia leo unalala kazini hutanibishia ni incredible exploitation. Unaamkia kazini, unalalia kazini. Hamna kuolewa, hamna kufanya mapenzi zaidi ya ku repiwa na watoto wa bosi. Mkimpa mimba - that is wewe mwajiri, na watoto wa bosi, na house boy, na mumeo - mkimpa mimba fire her behind, rudisha Iringa. Sio mwanao, who gives a rat's tail?
mkuu huyo mama jina uanweza kukuta dume la nguvu......mama hawezi kuwa na roho kama hio.......maelezo ya kuajiri tu tosha kujua hana utu.....
 

kutokana na kwamba anakozi za computer so usecretary ungemfaa zaidi ila yeye anasisitiza kazi yoyote maana hata hela ya matumizi hana.
sasa anatafuta kazi yeyote kwasababu hana pesa ya matumizi je akipata hiyo kazi yeyote si ataacha mara baada ya kupata pesa ya matumizi? mtu anayetafuta kazi yeyote mara nyingi anakuwa yupo desparate, sasa ni bora angetafuta itakayo mpa long term results, halafu mwambie amshirikishe na MUNGU...
 
jaman msaidie maana kiukwel 2po weng wanaotaka kaz paspo kuchagua kwasababu kwel unakuta m2 hana elim ya kutosha namaana elm ya juu kama chuo na n.k lakn ana ana ufanis na juud ya kufanya kaz akielekezwa mimi nami ni muanga wa il jambo 2patien kaz jaman mwenye nayo kazi mimi nitafuten apa 0768852406 au 0778376315 ila iwe kaz alali syo ya kunyonga elm yangu ni form4 tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom