JF modi, mimi JK ni limtani langu, nimisikiaga li raisi lilikweda kwenye bezidei ya madiba wakati tuna liskendo la kukosa umeme .. hata mang'ombe yangu yalishidwaga kulala usiku kwa kukosa tala. sasa mimi nilikuwa naomba kwamba, kwa nini usilipige ban hili limtani langu , likaaa hapa nchini bila kwendaga nje kwa miaka 4.
nawasilisha wajameni... wabunge wooote wa JF, muniungage mukono..iiiiiih
nawasilisha wajameni... wabunge wooote wa JF, muniungage mukono..iiiiiih