Waache mapepe yao kabisaaa!
Watulie kama atuliavyo kondoo wa kafara wakati wa kula kisu kwa niaba ya mdhambi.
Wasilete ubabe wa enzi za ujamaa kutisha watu kwa pingu na vibunduki mbwa vya mifukoni.
Watu wenyewe mnatutisha wakati tunakaa wote kule kunduchi Beach na Boko.
Tunajua siri zenu zote mnamaliza fedha zote kwa malaya mkiacha wake zenu na watoto wakihaha kwenye mihekalu ya ufisadi.
Wote tunalizwa kwa foleni kila asubuhi, Ma GX yenu hayana mbawa.
Huu ni mwanzo wa mwisho wenu, mwisho wenyewe ukifika Dar itakuwa Finyu kaa kiganja cha mtoto.
Walikuwa wapi siku zote hizi?Hawa ni mafisadi kama hao waliokuwa wakiwatumikia.Tanzania inakabiliwa na uhaba wa watu wanaoweka maslahi ya taifa mbele ya maslahi binafsi.Wapuuzi hawa wanatishia kulipua bomu baada ya kufanywa mbuzi wa kafara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.