Binafsi huwa naona wale wenye manyoa kufunika miili yao kama vile bado hawajakamilisha evolution process.Ndio maana huwa nikikutana na mdada mwenye manyoa nakuwa na wasiwasi sana na uhusiano wetu.
napenda manyoyaa,mwanaume akiwa na manyoya miguuni naona anapendeza,na kifuani pia,ila ya kizungu hayavutii,napenda manyoya kipilipili.
hahaha wewe acha bana mdada anakuwa nayo ya kiushikaji tu ..
Cheusi unanichekesha sana teh teh! you made my day.napenda manyoyaa,mwanaume akiwa na manyoya miguuni naona anapendeza,na kifuani pia,ila ya kizungu hayavutii,napenda manyoya kipilipili.
yakiwa kwa mtu mwenye kitambi kitambi hivi..ni no!:A S 109:
We mwana we! Ukikosea ukaonja kitambi hutakiacha
Mwenzenu wakwangu hana.nayatamani sana,i wish niyaoteshe.!