Mwitongo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2009
- 312
- 360
Kuna habari kwamba yule mwandishi Manyerere Jakson anajiandaa kugombea ubunge Jimbo la Musoma Vijijini mwaka 2015 kupitia Chadema. Inasemekana mipango yote inasukwa na ndugu yake Vincent ambaye kwa sasa anaongoza Musoma Mjini.
Mwenye taarifa zaidi atujuze!!
Mwenye taarifa zaidi atujuze!!