Manyerere Jackton wa gazeti la Jamhuri: Ninayo list ya wafadhili wa nje wa UAMSHO!

zanzibar huru

JF-Expert Member
May 28, 2012
218
108
Hiyo ndio kauli yake leo kwenye press conference Unguja

sasa kama mwandishi wa habari kwa nini asiweke wazi majina na listi ya hao wanaoifadhili UAMSHO?

Manyerere anaficha nini?

Msisahau kuwa huko nyuma aliwahi kusema najua wafadhili wote wa nje wa Freeman Mbowe na CHADEMA lakini akashindwa kuileta wala kusema ni akina nani hao.

Mwenye namba yake tunaomba amwambie aje hapa JF ajibu hizi tuhuma kabla vijana wetu hawajaingia kumfanyia ile kazi ya CSI
 
Itakuwa ccm wanamtumia kudivert tention ya watu maana ukweli walio nyuma ya hiko kikundi ni ccm wenyewe huko unguja na suk yao
 
Kwani wanaofadhili si waarabu wanataka kurudi zanzibar kuja kuendeleza utumwa wao kwa wanyamwezi na wamakonde walioko zanzibar!.
 
Jamhuri 'tunaanzia pale wengine walipoishia' Manyerere njoo au unataka tuanzie ulipoishia:lock1:
 
Amekosa UDC huyu. Sasa ameona njia pekee ya kupata UDC ni kuichafua UAMSHO. Hana lolote ni mchumia tumbo. Gazeti lao - Jamhuri limepewa fedha na Lowassa na Membe. Kama anabisha aje hapa akane kisha tumueleze alipewa lini na kiasi gani.

Nakumbuka wakati wa kampeni za mwaka 2005 huyu ndiyo alikuwa mpigadebe mkuu wa Kikwete akiwa na Balile. Alimtukana matusi mazito Dk. Salim kwa kumita mwarabu. Maandishi yake bado tunayakumbuka. Alikuwa mpiga kampeni mkubwa wa Kamalla aliyekuwa mbunge wa NKENGE.

Waliligeuza gazeti la Tanzania Daima kipeperushi cha CCM. Walikuwa wanamwambia Mbowe, utuache usituingilie. Baada ya Mbowe kuchachamaa ndipo wakaibuka na ile tamthiria ambayo wengine wameingia kuicheza bila kuijua chanzo chake inayosema, "Wamilikiwa wa vyombo vya habari wanawaingilia wahariri."

Hata nyumba anayokaa alijengewa na Lowassa na akawekewa umeme na Lowassa. Kama Manyerere unabisha njoo hapa ukanushe.
 
Mkuu husiwe unameza propaganda za watawala bila kutumia bongo yako. Mimi naamini licha ya mapungufu lakini wananchi wa Zanzibar wana sababu za msingi kuukataa muungano huu kama ulivyo sasa!
Kwani wanaofadhili si waarabu wanataka kurudi zanzibar kuja kuendeleza utumwa wao kwa wanyamwezi na wamakonde walioko zanzibar!.
 
Manyerere nilishamdharau siku nyingi kwanza alishauguwa ugonjwa wa kichaa sasa huwezi juwa labda kichaa kinamrudia.
 
Back
Top Bottom