Huu ni ushetani na mapepolisim, ibilisi kashindwa kwa jina la Yesu Aliye Hai, Damu ya Yesu Iliyomwagika Msalabani Yatosha. Mnaotafuta damu za paka na nyingine mzijuazo inakula kwenu.
Anaitwa Dr Manyaunyau msanii aliyetokea kwenye usanii pale Kaole katika kundi lilotoa wasanii wengi maarufu wa filam nchini Tanzania.Kama unakumbuka katika michezo ya Kaole kama Radi na Fukuto iliyokuwa inarushwa katika kituo cha ITV alikuwa anajulikana kwa jina la Promoter Jongo akiwa na swahiba wake Juma Mchopanga na akawa anajishughulisha na mambo ya mapromotion kwa kuandaa maonyesho ya kisanii.Kwa sasa Dr manyaunyau anajishughulisha na shughuli zake za uganga hapa nchini na nchi za nje.Dr Manyaunyau anasifika kwa kula paka akiwa katika shughuli zake za kiganga na kujipatia umaarufu mkubwa hapa nchini.Kwa mawasiliano zaidi na Dr manyaunyau kwa maoni au ushauri piga no.0787-631291,0755631291,0712-553169 Email manyaunyau@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.