Wananchi manusura wa mafuriko Dar waonesha hasira zao dhidi ya serikali ya CCM. Mmoja wa waathirika alikataa kuokolewa na waokozi wa kujitolea,baadb ya kukaa siku ya 2 na familia yake juu ya paa la nyumba,pasipo msaada toka serikalini. Hatimaye mtu huyo kafa maji.
Aidha,ktk eneo la shule ya Mchikichini,mama manusura amegoma kumjibu rais JK aliyemwuliza ilikuwaje. Alipofuatwa na wana habari waliotaka kujua kisa cha yeye kukataa kumjibu Jk amesema ameachwa siku 2 kwenye mafuriko na kitoto chake kichanga pasipo msaada wa serikali.
Hawa ni sampuli ndogo inayoonesha jinsi wananchi walivyojaa hasira dhidi ya serikali na ccm waendekeza ufisadi na anasa,na kusahau kuutumikia umma.
source: "Tuongee Asubuhi" Star tv na "Nipashe" 23-dec-11
Aidha,ktk eneo la shule ya Mchikichini,mama manusura amegoma kumjibu rais JK aliyemwuliza ilikuwaje. Alipofuatwa na wana habari waliotaka kujua kisa cha yeye kukataa kumjibu Jk amesema ameachwa siku 2 kwenye mafuriko na kitoto chake kichanga pasipo msaada wa serikali.
Hawa ni sampuli ndogo inayoonesha jinsi wananchi walivyojaa hasira dhidi ya serikali na ccm waendekeza ufisadi na anasa,na kusahau kuutumikia umma.
source: "Tuongee Asubuhi" Star tv na "Nipashe" 23-dec-11