abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wamefilisika kimawazo wanaoeneza upuuzi kuwa kuna watu wanalazimisha na kung'ang'ania Muungano! Ili iweje? Ili tupate nini?!? Its a matter of nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu!
UKISIKILIZA VIZURI NILICHOSEMA, UPO UTARATIBU WA KUFIKISHA MAWAZO KWA KIONGOZI WA CCM, SIO KUROPOKA BARABARANI! LAKINI SWALI LANGU KUBWA HAPA....... NANI ANALAZIMISHA MUUNGANO? ILI APATE NINI?NASEMA WANAOSAMBAZA MAWAZO HAYO WAMEFILISIKA KIMAWAZO TENA SANA!
Mheshimiwa Nape,
Kwanza kabisa nikusihi usijibu hoja za matusi kama za huyo mtu wa pwani, matusi ni dalili za ukosefu wa hoja kwahiyo achana na wanaotukana, wewe jikite katika hoja zenye mantiki.
Nikirejea katika maswali niliyo nayo, labda nikuulize je ni busara kuandika katiba ya JMT ili hali kuna sintofahamu juu ya hatima ya muungano?
Swali la pili, kwa vile chama chako CCM kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 40 kuanzia muungano(TANU/ASP) na hakikuweza kutatua malalmiko ya muungano, unadhani kuna njia gani mbadala itakayotumika kuhimili vishindo vya serikali 2 ikiwa hiyo imeshindikana siku za nyuma?
Tatu, Unadhani ni nini tatizo kubwa linaloutikisa muungano kwa sasa.
Shukran
Mheshimiwa Nape,
Kwanza kabisa nikusihi usijibu hoja za matusi kama za huyo mtu wa pwani, matusi ni dalili za ukosefu wa hoja kwahiyo achana na wanaotukana, wewe jikite katika hoja zenye mantiki.
Nikirejea katika maswali niliyo nayo, labda nikuulize je ni busara kuandika katiba ya JMT ili hali kuna sintofahamu juu ya hatima ya muungano?
Swali la pili, kwa vile chama chako CCM kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 40 kuanzia muungano(TANU/ASP) na hakikuweza kutatua malalmiko ya muungano, unadhani kuna njia gani mbadala itakayotumika kuhimili vishindo vya serikali 2 ikiwa hiyo imeshindikana siku za nyuma?
Tatu, Unadhani ni nini tatizo kubwa linaloutikisa muungano kwa sasa.
Shukran
Mheshimiwa Nape,
Kwanza kabisa nikusihi usijibu hoja za matusi kama za huyo mtu wa pwani, matusi ni dalili za ukosefu wa hoja kwahiyo achana na wanaotukana, wewe jikite katika hoja zenye mantiki.
Nikirejea katika maswali niliyo nayo, labda nikuulize je ni busara kuandika katiba ya JMT ili hali kuna sintofahamu juu ya hatima ya muungano?
Swali la pili, kwa vile chama chako CCM kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 40 kuanzia muungano(TANU/ASP) na hakikuweza kutatua malalmiko ya muungano, unadhani kuna njia gani mbadala itakayotumika kuhimili vishindo vya serikali 2 ikiwa hiyo imeshindikana siku za nyuma?
Tatu, Unadhani ni nini tatizo kubwa linaloutikisa muungano kwa sasa.
Shukran
Kumbe kijana wa changanyikeni umo katika wale wanaotaka serikali tatu. Ila usiwe mkali sana kwa haya madudu mengine humu JF, utapasuka mishipa ya damu bure.Kuna watu wamefilisika kimawazo wanaoeneza upuuzi kuwa kuna watu wanalazimisha na kung'ang'ania Muungano! Ili iweje? Ili tupate nini?!? Its a matter of nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu!
UKISIKILIZA VIZURI NILICHOSEMA, UPO UTARATIBU WA KUFIKISHA MAWAZO KWA KIONGOZI WA CCM, SIO KUROPOKA BARABARANI! LAKINI SWALI LANGU KUBWA HAPA....... NANI ANALAZIMISHA MUUNGANO? ILI APATE NINI?NASEMA WANAOSAMBAZA MAWAZO HAYO WAMEFILISIKA KIMAWAZO TENA SANA!
ZIwe serekali Moja ,Mbili au Kumi si tunachotaka ni sera dhabili za kuendeleza uchumi na siyo blabla tu.Muungano ujadiliwe kwenye ngazi zote ,mapungufu yawekwe sawa yafanyiwe kazi tuendelee na shughuli za maendeleo.Kuna watu wanapinga Muungano lakini cha ajabu ukiwauliza wanapinga hasa nini hana jibu tunakuwa washabiki tu!Mimi sidhani hakuna kitu ambacho hakishughulikiwi ila kinashughulikiwaje!na huwezi kumridhisha kila mtu hata kama chama kingine kitatawala.
Namkumbuka Mtikila, "saa ya ukombozi ni sasa" Uzuzu umetuzidi watanganyika. hakuna mjadala hapa. hatukushirikiswa kukolonisha Tanganika kwa Tanzania, Tanganyika ni koloni. Muungano huu wa hovyo ndio unaofanya dhahabu yetu ichimbwe kwa asilimia 3%. Tanganyika itakaporudi, hakika wote walioiba dhahabu na Tanzanaite watalipa.aongezee na hili.
1. Ni sababu gani zilitumika kuchagua serikali mbili ya tanzania na ya mapinduzi ya zanzibar?
2. Ni kwa nini serikali ya tanganyika iliuwawa kikatili na hivyo kutuondoshea heshima yetu mbele ya mataifa?
3. Iwapo wazanzibar wanulalamikia muungano ili hali wana serikali na wanafaidika mara mbili kwamba wanaweza kuongoza bara na visiwani, Je sisi watanganyika maumivu yetu mliyapima na kujua ni kiasi gani tunaathirika kwa kukosa serikali yetu?
4. Hivi ni sahihi ukoloni mamboleo ukatekelezwa na watu kiduchu wazanzibar, tena wasiotuzidi kwa lolote? iweje watutawale lakini sisi tusiwatawale?
Kuna watu wamefilisika kimawazo wanaoeneza upuuzi kuwa kuna watu wanalazimisha na kung'ang'ania Muungano! Ili iweje? Ili tupate nini?!? Its a matter of nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu!
UKISIKILIZA VIZURI NILICHOSEMA, UPO UTARATIBU WA KUFIKISHA MAWAZO KWA KIONGOZI WA CCM, SIO KUROPOKA BARABARANI! LAKINI SWALI LANGU KUBWA HAPA....... NANI ANALAZIMISHA MUUNGANO? ILI APATE NINI?NASEMA WANAOSAMBAZA MAWAZO HAYO WAMEFILISIKA KIMAWAZO TENA SANA!