boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
Na haka kajamaa lazima huko mbeleni tuje tukahoji kuhusu issue ya EPA, asidhani tumesahau jinsi CRDB ilivyoshiriki katika kufanikisha dili la EPA. Watanganyika bado hatujamalizana nae huyu.
Mimi binafsi nahisi yeye pia amekula pesa nyingi tu ya EPA amasivyo asingeweza kujenga ma-appartments mengi na magari kadhaa ya kifahari. Ila ukweli ni kwamba yuko kwenye nafasi na nchi hii ni kula tu wacha afaidi ndo muda wake huu , CEO wa kudumu wa CRDB , aminia