Manjonjo ya Dr Kimei wa CRDB!

wascha afanye ni bank ya walutheri wa Denis ,Mbona waisla wameanzisha tawi hapa Dar na huo wanswali hujaandika Hilo.
Wewe naona unadam ya Udini sana,Na ushindwa katika Jina la YESU KRISTO
 
Hakika kabisa ishu ya kusoma misa kanisani kwaajili ya taasisi ya watu mchanganyiko (kama benki) ni kituko cha aina yake, unless kama mleta mada amekosea au kuchanganya jambo hili, labda pia aliitwa shehe ili asome dwaa kukidhi upande wa pili wa dini![/QUOTE

hebu nikumbushe MV spice Islanders iliua waislamu peke yake?je ibada ya dini gani ilisomwa kuwazika marehemu?je kuna mtu wa upande wa pili aliyeinua mdomo kulalama?
 
Matawi ya CRDB Mkoa wa Morogoro walitoa shukurani zao Jana katika Kanisa Kuu la Mt. Patris na Kuhudhuriwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Mhashamu Mtega. Sijui watakuja na hapa kanisani St. Alban?; Azania Front Je?; Msikiti wa Manyema?
 
aseeee.......
Siku hizi humu kila mtu lazima akomae na dini yake.
Kila kitu lazima kiwe udini tu!!
 
Kama ni kweli Kimei kawaleta staffs wote wa crdb basi mjue kuna staffs wapya wa kike anataka kujitwalia kama King Mswati.
 
Wewe achana na fikra za kijinga hizo,nani kakwambia crdb ni mali ( benki ) ya umma? Kama wewe ni mfanyakazi na unaona ujatendewa haki basi mwaga wino. Upo hapo?
:hat:

Kampuni yeyote inayouza hisa kwa umma (publicly traded) inawajibika kwa washikadau wake (umma) na wala si kwa watu wa dini moja au nyingine.

Mojawapo ni wajibu wa kuwatumikia wateja wote sawa na kuwapa fursa wafanyakazi wote sawa.

Ukifanya shughuli ya misa ya dini moja kwa gharama za kampuni, huwatendei haki wateja na wafanyakazi wa dini nyingine na wasio na dini. Utakuwa unajenga matabaka ya "first class clients and workers" na "second class clients and workers".

This is about corporate responsibility and ethical conduct. Hizi habari za nonchalant blaze ndiyo zinaleta impunity na kusababisha watu wanaendesha a big bank kama a mom and pops shop.

Nchi zilizoendelea watu wanafanya mambo kama haya sana, kwenye ma Jewish Synagogues, Rotary Clubs etc, lakini hawafanyi kwa kutumia hela za kampuni. Unaruhusiwa kumshukuru mungu wako utakavyo, lakini kutumia pesa za kampuni isiyo na dini na yenye wateja walio na dini tofauti na wengine wasio na dini ku sponsor shughuli ya kidini ni a total lack of respect kwa wateja na wafanyakazi wako.

It is actually fraud.
 
Acha mawazo ya kidini ndugu yangu, ukifikiria hivo basi unataka hata Rais, waziri, na wengineo wanapoenda ktk mikusanyiko ya dini wasitumie magari ya serikali bali watumie magari binafsi, achana na huo mtazamo sio mzuri. mbona makamu wa rais hutumia magari ya serikali kwa ajili ya kwenda msikitini jioni na ijumaa?
mbona hufikirii gharama anayoitoa huyu ndg Kimei kwa ajili ya kusafirisha hao wafanyakazi bali wewe umeng'anania misa tu? nafikiri toka hapo ulipo and start thinking positively. huoni gharama zinazotumiwa na CRDB kwenye family day kulipia vinywaji vyenye kilivi wewe umeona misa tu? acha hivo ndugu yangu........................

Kati yangu mimi ninayesema dini hairuhusiwi katika kuendesha chombo chenye wateja na wafanyakazi wenye dini tofauti na wengine wasio na dini, na nyie mnaotetea dini moja ku dominate chombo hiki, nani ana mawazo ya kidini?

Mimi siwezi kuwa na mawazo ya kidini kwa sababu siamini dini yoyote.

Nimeongelea gharama, nikaongelea misa. Ili kui account gharama inabidi ujue gharama inakwenda wapi.

Tatizo letu ni kwamba lack of exposure inafanya kitu ambacho primarily kinahusu "corporate governance", na secular ethics mnakiona kama udini.

Alichofanya Kimei hapo, ni kama baba mwenye watoto wawili, kamnunulia kiatu mmoja, halafu mwingine hajamnunulia.

Huyu mtoto asiyenunuliwa kiatu atajionaje?

Hilo moja, pili. Alichofanya Mtei hapo hakina tofauti na kuchukua pesa ya CRDB kujenga kanisa kwa minajili ya kutoa shukurani kwa mungu.

Watu wanaojali haki sawa kwa wote wataonaje? Achilia mbali watu wa dini nyingine, Wakristo wenyewe wako na madhehebu lukuki, Wa-Anglikana, Wa-Lutheri, Wakatoliki, etc sasa hawa nao wakitaka kila dhehebu lifanyiwe hivyo kutabaki benki hapo?
 
wascha afanye ni bank ya walutheri wa Denis ,Mbona waisla wameanzisha tawi hapa Dar na huo wanswali hujaandika Hilo.
Wewe naona unadam ya Udini sana,Na ushindwa katika Jina la YESU KRISTO

Two wrongs do not make a right.

Mtu akiua, huwezi kusema "wacha na mie niue, mbona fulani kaua". Ukienda mahakamani na kujitetea kwamba "nimeua kwa sababu fulani nae kaua" huu utakuwa si utetezi, bali ni kukubali kosa.

Swali hapa ni, kutumia fedha za benki ya umma, iliyo na wafanyakazi na wateja wa dini tofauti, na wengine wasio na dini, katika shughuli ya dini moja ni sawa au si sawa?
 
Kama kitu kama hiki kinawezekana, chochote kinawezekana.

Hivi Tanzania tuna chombo chochote kama "Securities and Exchange Commission" (SEC) ku regulate ufisadi kama huu?

http://www.sec.gov
 
Ameendesha misa ya shukrani kwa Mungu baada ya CRDB kupata faida kubwa. Amealika wafanyakazi wa benki ya crdb toka nchi nzima kuja dar es salaaam kuhudhuria sherehe na misa ya leo, nauli na gharama za kukaa dar ni juu ya benki. Zaidi ya yote, kuanzia mwezi januari mwakani kila mfanyakazi atakuwa akipata 'bonus' ya sh 120,000/= kila mwezi.

Haka kanchi ni katamu sana ukikapatia!
  1. kama wapeta faida kubwa na wame mkumbuka Mungu mimi sioni tatizo
  2. kama staff wamelipiwa kuja mjini kusherehekea whats a big deal? wenye kuweza wata serve kwa ajili ya ada january sote twaifahamu!
  3. kwa bonus kama charles hajilipi mwenyewe tatizo liko wapi? acha ndugu zetu wafaidi bana! mbona Mikaburu ya EN-BI-SII inakomba pesa yote kodi hailipi wala nini kwa kuwa charles ni mchaga mbongo inakua nongwa acheni hizo bana!
  4. kususu EPA sijui so no comment on that
  5. hongereni CRDB keep it up and always remmember GOD as you are now rightly doing!


 
Ameendesha misa ya shukrani kwa Mungu baada ya CRDB kupata faida kubwa. Amealika wafanyakazi wa benki ya crdb toka nchi nzima kuja dar es salaaam kuhudhuria sherehe na misa ya leo, nauli na gharama za kukaa dar ni juu ya benki. Zaidi ya yote, kuanzia mwezi januari mwakani kila mfanyakazi atakuwa akipata 'bonus' ya sh 120,000/= kila mwezi.

Haka kanchi ni katamu sana ukikapatia!
Ndyoko, habari hii umeitoa wapi? Kwa namna ilivyokuwa, je ni sherehe ya kidini(shukrani) au ni sherehe ya kupongezana zaidi na hilo la misa (naamini ameomba kimei kama individual na sio crdb- i stand to be corrected!) labda ni by the way tu kwa sababu wahudhuriaji kwenye sherehe hiyo ya 'kupongezana' walikuwa dar?

Sioni katika hali ya kawaida ni vipi plc kama crdb inaweza kutumia fedha zake kwa ajili ya 'misa ya shukrani'. Hata kwa auditors tu hili haliwezi kupita kama lilivyo! Utafanya jambo jema kama utaweka/utatafuta maelezo zaidi katika/kuhusiana na habari hii.
 
Back
Top Bottom